segwanga
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,789
- 729
Rais wa TAHLISO na rais wa DIT inasemekana wamekamatwa tangu jana na wapo kituo cha polisi cha Osterbay wakihojiwa kuhusu maandamano ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu yaliyopigwa marufuku na jeshi la polisi.
Rais wa tahliso ndo ring leader akisaidiwa na rais wa DIT. Inasemekana HESLB walimwambia dogo Mudede akubali wawape hela nusu kwanza wakati huo wakishughulikia mshiko wa kumalizia lakini dogo akashupaa kwamba wanataka mzigo kamili.
Marais wengine ambao kuna tetesi watapata kazi ya kuisaidia polisi hivi karibuni ni wa IFM na CBE dar. Tuendelee kupashana habari
Rais wa tahliso ndo ring leader akisaidiwa na rais wa DIT. Inasemekana HESLB walimwambia dogo Mudede akubali wawape hela nusu kwanza wakati huo wakishughulikia mshiko wa kumalizia lakini dogo akashupaa kwamba wanataka mzigo kamili.
Marais wengine ambao kuna tetesi watapata kazi ya kuisaidia polisi hivi karibuni ni wa IFM na CBE dar. Tuendelee kupashana habari