Rais wa Senegal (elect) kaingia na wake zake wawili kwenye sherehe ya kupongezwa ushindi

Hakuna malaya atafanya mageuzi ya kiuchumi iwe ngazi ya familia au Taifa

Kasome historia ya dunia watu walioishape dunia uone km waliwekeza kwa malaya

Wanawake wengi wanapunguza uwezo wa kufikiri

Uyo dogo bada ya miaka mitano atakuwa na wake zaidi ya sita

Muda wa kulitumikia Taifa utakuwa mdogo sana
Kwanini unamuita Malaya?....yaani kuoa wake wawili ndio umalaya?....
 
Suali langu kuu ni kwamba first lady ni office ya kikatiba sasa kwa hali kama hii Rais akiwa na wake wawili, watakuwa wanapokezana au kutakuwa na office mbili za first ladies, au mke mkubwa ndo atapewa cheo hicho?

Kijana mdogo miaka 44 ana wake wawili unakuta wanaume wazima miaka 60 kiongozi bado anazini tu na michepuko loh wanaume wa Tanzania wengi ni waoga wa maisha.

View attachment 2945847
Uhuni! Hii nchi ya wahuni!
 
Swali nje ya mada, hawa viongozi wa nchi na nchi wanapokutana kwenye vikao vyao huko majuu; viongozi wenye umri mdogo huwa wanawasalimia (shikamoo) wale wanaowazidi umri kweli? Ingawa vyeo ni sawa.​
 
Vitu vingine ukiwa unavijadili kwa mitazamo yako. Au kwa imani yako. Au mahali ulipo. Huwezi kuepuka ujinga. Kila nchi ina tamaduni. Desturi. Mila nk. Inakubidi uangalie kwa nini iko hivyo huko. Zuma wkt anaapishwa kua rais alikua na mke wa kanisani. Lkn nyumbani alikua na wake wanne ambao alipewa kwa tamaduni zao za kizulu. Hapo first lady alikua yule aliefunga nae ndoa kanisani. Sasa hapo ukisema Jacob Zuma alikua na mke mmoja utakua zuzu
 
kwa hiyo unapingana na imani yenu ya kiislamu?

nani kakuambia kua na mke zaidi ya mmoja inaharibu ufanisi wake wa kazi?

refer michango ya Nyani Ngabu ujielimishe zaidi. sitaki kukuongezea dozi ya uelewa.
Jacob Zuma ana wake sijui watatu au wanne…

Ni polygamist. Sijui dini yake, ila ni Mzulu.

Alikuwa Rais wa Afrika Kusini toka 2009 hadi 2018.

Hakushindwa kuongoza Afrika Kusini kwa sababu ya kuwa na wake wengi.

Tena basi, mmoja wa wake zake wa zamani [kwa sasa wametalikiana], Nkosazana-Dlamini Zuma, alikuwa waziri wa mambo ya nchi za nje wa Afrika Kusini na sasa pia ni waziri.

Pia, alikuwa mwenyekiti wa tatu wa tume ya Muungano wa Afrika [nafasi anayogombea Raila Odinga sasa hivi].

Marital status haihusiani kabisa na uwezo wa mtu kuongoza.

Narendra Modi, waziri mkuu wa India, kimsingi hana mke.

Alioaga akiwa na miaka 18 lakini wakatengana mapema sana na hajaoa tena.

Mwezi ujao India watakuwa na chaguzi ambapo Modi [chama chake cha BJP] anatarajiwa kushinda muhula wa 3!

Hajashindwa kuiongoza India, a nuclear state with a population of 1.4 billion!!
 
Suali langu kuu ni kwamba first lady ni office ya kikatiba sasa kwa hali kama hii Rais akiwa na wake wawili, watakuwa wanapokezana au kutakuwa na office mbili za first ladies, au mke mkubwa ndo atapewa cheo hicho?

Kijana mdogo miaka 44 ana wake wawili unakuta wanaume wazima miaka 60 kiongozi bado anazini tu na michepuko loh wanaume wa Tanzania wengi ni waoga wa maisha.

View attachment 2945847
President-elect Bassirou Diomaye Faye, who has two wives, Marie Khone Faye and Absa Faye, will be Senegal's first polygamous president.

Daily Monitor
Home › news
One president, two first ladies: The case of Senegal
— Senegal's president-elect Bassirou Diomaye Faye speaks during a press conference in Dakar, Senegal March 25, 2024. PHOTO/REUTERS
 
Hakuna malaya atafanya mageuzi ya kiuchumi iwe ngazi ya familia au Taifa

Kasome historia ya dunia watu walioishape dunia uone km waliwekeza kwa malaya

Wanawake wengi wanapunguza uwezo wa kufikiri

Uyo dogo bada ya miaka mitano atakuwa na wake zaidi ya sita

Muda wa kulitumikia Taifa utakuwa mdogo sana
Kweli kabisa atawataliki wote na kuongeza wapya.
Huwezi ukawa mzinzi ukawa smart kichwani
 
Suali langu kuu ni kwamba first lady ni office ya kikatiba sasa kwa hali kama hii Rais akiwa na wake wawili, watakuwa wanapokezana au kutakuwa na office mbili za first ladies, au mke mkubwa ndo atapewa cheo hicho?

Kijana mdogo miaka 44 ana wake wawili unakuta wanaume wazima miaka 60 kiongozi bado anazini tu na michepuko loh wanaume wa Tanzania wengi ni waoga wa maisha.

View attachment 2945847
Kikwete mwenye mademu kila wilaya na kona ya Tanzania mpaka nje ya nchi alifanyaje?
 
Back
Top Bottom