Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,033
Mwe !!! Mfano wa kuigwa na nani ??? Hivi wewe unaujua mtutu wa bunduki au unausikia tu ??? Usifanye mchezo na mapinduzi ya kijeshi. Kama umechoka amani basi hamia huko huko Niger au uende hapa jirani tu na kwetu uone madhara ya umwagaji damu. Nadhani wewe siyo m-TZ, labda unatokea huko huko wanakomwaga damu. Usituletee huo muflisi wako wa amani na siasa. KWENDA ZAKO HUKO.
Hakika wewe ni Mzee kibiongo, hata ufahamu wako una kibiongo. Palipo amani (ya kizushi) pana uharibifu mwingi....kama ilivyo Tanzania. isome taarifa kabla ya kucomment ...The situation in Niamey remains unclear - there has apparently been no large-scale deployment of military personnel.
Watu kama wewe ndio huwa mnaonyeshwa picha za kimbari wakati wa uchaguzi mnaambiwa vyama vya upinzani vitaleta mauaji kama hayo na mnaamini.
Wake up!!!!!!!
Watawala wamewageuza wa-tz matambara ya deck, na hulioni hilo.