Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,461
- 1,448
amethubutu, ameweza, anasonga mbele...she is walking the talk wakati hapa kwetu they are simply talking the talk!
hawana uthubutu wala uwezo, sana wakizidiwa huangua vilio hadi bungeni...what a shame, kama mtoto kanyimwa pipi au kakataliwa safari ya kwenda beach kutembea.
hawana uthubutu wala uwezo, sana wakizidiwa huangua vilio hadi bungeni...what a shame, kama mtoto kanyimwa pipi au kakataliwa safari ya kwenda beach kutembea.