Thanda
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,915
- 596
Kwa taarifa,
Rais wa Liberia, Mhe. Ellen Johnson Sirleaf, anawasili nchini leo mchana mida ya saa nane hivi. Atapokelewa na JK (mwenyeji wake na kuelekea "White House", katika dhifa iliyoandaliwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)
Kesho atahutubia pale UDSM, "The Role Of Women In Africa Development" (Majukumu ya Wanawake katika Maendeleo ya Afrika)
Keshokutwa atakuwa Arusha, akitembelea kiwanda cha vyandarua katika kiwanda cha A to Z
Ziara yake ni ya kiserikali (Kikazi).
:behindsofa:
Rais wa Liberia, Mhe. Ellen Johnson Sirleaf, anawasili nchini leo mchana mida ya saa nane hivi. Atapokelewa na JK (mwenyeji wake na kuelekea "White House", katika dhifa iliyoandaliwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)
Kesho atahutubia pale UDSM, "The Role Of Women In Africa Development" (Majukumu ya Wanawake katika Maendeleo ya Afrika)
Keshokutwa atakuwa Arusha, akitembelea kiwanda cha vyandarua katika kiwanda cha A to Z
Ziara yake ni ya kiserikali (Kikazi).
:behindsofa: