Rais Samia; Urais wa nchi ni mambo makubwa

Hotuba yake siku ya kuapishwa kwake ilinipa matumaini makubwa sana kwake lakini baada ya hii miezi mitatu hitimisho langu ni mtu hopeless tu na ndani ya Serikali bado kuna mvutano mkubwa wa wa wale ambao hawakutaka huyo Mama awe Rais na wale wanaomkubali. Hivyo mimi sitegemei kuona mabadiliko yoyote makubwa kutoka kwa huyo mama kati ya sasa na 2025 na hastahili kuendelea kuwepo Ikulu baada ya 2025, labda atabadilika maana miezi mitatu ni kipindi kifupi mno. Nilisema hapa dhalimu ni bomu tangu 2015 na sikukosea hivyo hitimisho langu huyo mama ni bomu JINGINE.
Kwa kifupi Katiba ya 1977 , ni bomu hata chama tawala kimekubali hilo.
 
Nakuelewa vyema.
Ila hii la kila mtu kutimiza wajibu wake ni hoja ya kisiasa sana.
Wajibu mkubwa wa kwanza wa mwanachi ni kulipa Kodi.
Kuchangia gharama, n.k

Nikuulize swali, wewe ukajaze madawa hospital?

Wewe ukajenge shule ngapi?
Waoo si wameuza gesi?
Si wameuza madini?

Si wameuza korosho?

Si wametoa Ardhi yetu kwa miaka 33, 66 au 99?

Si wameuza vitalu wanyama wetu wanawindwa?

TUNAPATA NINI?

Au Ma VX V8??
Nitakupa mfano mmoja wa afisa tabibu mmoja ambaye chama cha madaktari mwaka jana walimpa tuzo kwenyw mkutano wao ambao JPM alikuwa mgeni rasmi.
Huyo jamaa alipangiwa kazi Mbarali nadhani kijijini huko kwenye zahanati.

Alipofika akagundua kuna vifo vingi vinavyosababishwa na uzazi kwenye hilo eneo na wengine wanajifungulia njiani.

Kama tabibu tu akaamua kuunda ka-timu kwa kushirikisha viongozi wa kijiji cha kuhakikisha kila mjamzito anafatiliwa na hiyo timu, siku zake zikikaribia tayari kunakuwa na maandalizi kupitia kwa mjumbe wa mtaa husika, na hapo itatafutwa baiskeli ama chochote atawahishwa zanahati kwa ajili ya kuhudumiwa.

Walimpa tuzo kwa kuwa alipambana mpaka kukawa hakuna kifo kinachosababishwa na matatizo ya uzazi kwenye hiyo kata kwa miaka nadhani mitatu mfululizo.

Mfano huo unaonyesha jinsi jamaa alivyotimiza wajibu wake kwa Taifa.

Nchi hii kila raia akitimiza wajibu wake kwa maarifa aliyonayo tutafika mbali sana.
Mfanyakazi atimize wajibu wake, mfanyabiashara pia.
Mtu akicha kusafisha eneo lake au mazingira ati kwa kuwa analipa kodi hivyo serikali iweke utaratibu wa kusafisha mitaa huko ni kukosa maarifa.

Mtu anaishi mtaa ambao wazee na maskini hawatibiwi kwa kuwa hawana hata buku ya kumuona daktari anakimbilia kuilalamikia hospitali badala ya kufanya maarifa na kuishirikisha jamii kupata suluhisho.

Yule tabibu angeamua kuwa anaandika ripoti kila mwezi na kuzituma serikalini kila mara kusisitiza uwepo wa vifo vinavosababishwa na uzazi ungekuta mpaka leo watu hapo kijijini kwake wanakufa kwa tatizo hilo.

Naamini sana kwenye kila mtu kutimiza wajibu na kutumia maarifa kubadili hali ya mahali alipo.
 
Inashangaza sana kumsikia huyo mama eti deni lilipwe kidogo kidogo! Kwa vipato gani walivyo navyo asilimia kubwa ya Watanzania kuweza kulipa deni la milioni na ushee wakati hata mlo mmoja tu wa siku wataupata vipi hawajui. The so called Viongozi hawajui lolote kuhusu ufukara wa kutisha unaowakabili Watanzania wengi sana.
Afya ni eneo nyeti Sana Watanzania wengi wanapoteza maisha na kudhalilika Sana hospitali hata za umma kwa kukosa pesa.
 
Afya ni eneo nyeti Sana Watanzania wengi wanapoteza maisha na kudhalilika Sana hospitali hata za umma kwa kukosa pesa.
#VAPS
Nashukuru sana kwa mchango wako.
Unaelewa vizuri eneo hili.
Watu huchangishana ukoo, nawasiweze kumtibia ndugu yao.
Eneo hili ni nyeti sana.
Halafu vile vinavyoitwa vituo vya afya, zahanati...hospital ya wilaya, n.k .
Hakuna kitu kule.
XRay machine tu hakuna. Ki ultrasound tu hadi wilayani,

Watu wanakufa kwa kuchelewa tiba..

Niliwahi kushauri hata mfumo wa MEDICAL REFERRAL "RUFAA" Uangaliwe upya.

Mfano Halisi:
Kwa nini % kubwa ya wanaofika "OCEAN ROAD" , kesi za CANCER unakuta zishavuka kipimo, hazitibiki tena.

Si kwanza hawakuwahi hospital, la hasha!!

Ila wamechelewesha huko Zahanati, kituo cha afya, kila siku anaandikiwa amoxylin.

Ndo maana namtaka Rais aongoze mageuzi, sio vitu vidogo vidogo ,
 
Hotuba yake siku ya kuapishwa kwake ilinipa matumaini makubwa sana kwake lakini baada ya hii miezi mitatu hitimisho langu ni mtu hopeless tu na ndani ya Serikali bado kuna mvutano mkubwa wa wa wale ambao hawakutaka huyo Mama awe Rais na wale wanaomkubali. Hivyo mimi sitegemei kuona mabadiliko yoyote makubwa kutoka kwa huyo mama kati ya sasa na 2025 na hastahili kuendelea kuwepo Ikulu baada ya 2025, labda atabadilika maana miezi mitatu ni kipindi kifupi mno. Nilisema hapa dhalimu ni bomu tangu 2015 na sikukosea hivyo hitimisho langu huyo mama ni bomu JINGINE.
Asante #BAK kwa mjadala.

Binafsi sielewi Mama ameanza kupatwa na nini!!

Angejikita kusimamia ajenda kubwa kubwa.
 
Binafsi hii nchi aliiweza magufuli peke ake, ili maendeleo yawepo uvunjifu wa mfumo wa kidemokrasia lazima uwepo. hivi viatu alivyovaa mama etu mpendwa ni vigumu na vinahitaji utulivu wa mwili na akili, kwa mwanamke ambaye ameumbwa kuongozwa hawezi kutufikisha popote. unajua hayati hakuwa akimsikiliza kila mtu alifanya vile akili yake ilivyomtuma maana alijua miluzi mingi humpoteza mbwa pia alijua kuwa nchi haijengwi kwa siasa bali kwa jasho na damu na ndo maana alikuwa tayari kupoteza damu yake ili kuleta maendeleo yenye tija, tuache kuwa wabinafsi richa ya kuwa wananchi wengi ni fukara ila hayati alipambana kuijenga nchi kuwaacha wananchi wanaumia ili vizazi vyao vije vifurahie matunda ya jasho za baba zao, ila watanzania wengi hatupo tayari kujitoa kwaajili ya future ya watoto wetu, kila mmoja ana roho ya ubinafsi anaona ni bora aje ateseke mtoto wake ila yeye ale matunda ya nchi. na ndo maana hatukusita kumpinga. Ok turudi kwenye mada, katika kitu cha umuhimu ambacho raisi anatakiwa kukifanya ni kuhakikisha anabadilisha mfumo wa elimu na kuongeza idadi ya technical schools and colleges ili kutengeneza watu wanaoweza kujiajili, pia angewekeza katika kuwapa sapoti local inovators ili kuikuza teknolojia yetu maana hili litapunguza cost burden kwenye foreign importation, huenda maraisi waliopita wangewasapoti local inovators sasa ivi tungekuwa tunatengeneza magari yetu wenyewe, viwanda vingekua, un employment rate ingepungua, kilimo kingebadirika na watu wangevuna mpaka wasingekuwa na mahali pa kuvipeleka vyakula, ila kwa sababu mawazo yao yamefungwa ndo maana akitokea mtu amegundua kitu anasainiwa na mataifa ya kibeberu ili wakawanufaishe wazungu waje watunyonye wakati sisi tunamuona mpuuzi eti hakina quality kitahatarisha maisha ya watu ivii mmesahau kuwa hata britain iliyosumbua kuwa na viwanda vikubwa karne ya 16 walianza na mfumo mdogo (stem engine)?. nchi yetu inahitaji raisi mwenye fikra za kujilisha wenyewe na sio kuombaomba maana hata marekani inapasua vichwa kwa kuwa ba uchumi mkubwa duniani kwa sababu ilipata maraisi wenye akili, wenye kushindana kuiondoa nchi kutoka kwenye umasikini na sio kushindana kwa kiki, tukiendelea kukaza vichwa tutabaki nyumanyuma kama koti la babu msizilo, wazungu wataendelea kututafuna vichwa wakati sisi tukiendelea kuwachekea.
yangu ni hayo tu wakuu.
 
Nitakupa mfano mmoja wa afisa tabibu mmoja ambaye chama cha madaktari mwaka jana walimpa tuzo kwenyw mkutano wao ambao JPM alikuwa mgeni rasmi.
Huyo jamaa alipangiwa kazi Mbarali nadhani kijijini huko kwenye zahanati.

Alipofika akagundua kuna vifo vingi vinavyosababishwa na uzazi kwenye hilo eneo na wengine wanajifungulia njiani.

Kama tabibu tu akaamua kuunda ka-timu kwa kushirikisha viongozi wa kijiji cha kuhakikisha kila mjamzito anafatiliwa na hiyo timu, siku zake zikikaribia tayari kunakuwa na maandalizi kupitia kwa mjumbe wa mtaa husika, na hapo itatafutwa baiskeli ama chochote atawahishwa zanahati kwa ajili ya kuhudumiwa.

Walimpa tuzo kwa kuwa alipambana mpaka kukawa hakuna kifo kinachosababishwa na matatizo ya uzazi kwenye hiyo kata kwa miaka nadhani mitatu mfululizo.

Mfano huo unaonyesha jinsi jamaa alivyotimiza wajibu wake kwa Taifa.

Nchi hii kila raia akitimiza wajibu wake kwa maarifa aliyonayo tutafika mbali sana.
Mfanyakazi atimize wajibu wake, mfanyabiashara pia.
Mtu akicha kusafisha eneo lake au mazingira ati kwa kuwa analipa kodi hivyo serikali iweke utaratibu wa kusafisha mitaa huko ni kukosa maarifa.

Mtu anaishi mtaa ambao wazee na maskini hawatibiwi kwa kuwa hawana hata buku ya kumuona daktari anakimbilia kuilalamikia hospitali badala ya kufanya maarifa na kuishirikisha jamii kupata suluhisho.

Yule tabibu angeamua kuwa anaandika ripoti kila mwezi na kuzituma serikalini kila mara kusisitiza uwepo wa vifo vinavosababishwa na uzazi ungekuta mpaka leo watu hapo kijijini kwake wanakufa kwa tatizo hilo.

Naamini sana kwenye kila mtu kutimiza wajibu na kutumia maarifa kubadili hali ya mahali alipo.
Tunakosea wapi sisi kama nchi? Ni ajabu huyo tabibu unakuta analipwa laki 9, hakuna gari ya wagonjwa, hata ikiwepo mafuta ni changamoto. Wakati upande wa pili wapiga meza wanapata mishahara, marupurupu mpaka wanasaza.......

Vipaumbele!
 
Nakuunga mkono Mkuu akifanya hivyo atajijengea legacy kubwa sana, lakini sioni akisimamia ajenda kubwa au kutokana na kushauriwa na waliomzunguka au matakwa yake binafsi. Tukumbuke huyo mama alikuwa ni mmoja wa waliokuwa vizingiti vikubwa katika lile bunge la katiba aliyesababisha tusiipate Katiba mpya ya rasimu ya Warioba.
Asante #BAK kwa mjadala.

Binafsi sielewi Mama ameanza kupatwa na nini!!

Angejikita kusimamia ajenda kubwa kubwa.
 
Inashangaza sana kumsikia huyo mama eti deni lilipwe kidogo kidogo! Kwa vipato gani walivyo navyo asilimia kubwa ya Watanzania kuweza kulipa deni la milioni na ushee wakati hata mlo mmoja tu wa siku wataupata vipi hawajui. The so called Viongozi hawajui lolote kuhusu ufukara wa kutisha unaowakabili Watanzania wengi sana.
Mkuu ni kweli hawa viongozi hawana sense yoyote juu ya ufukara na hali za watanzania.

Hata Magufuli hakuujua, ndio maana akaishia kufanya makosa mengi sana na kutesa watu tu.

Sasa kama Mama anawaza hivi, ataelewa atatue vipi shida za watu wake?!

Wanalipaje kidogo kidogo wkt ukoo mzima wamechanga, na haijatosha.

Naúmia sana kwamba naye Mama huenda hajui ufukara
 
Umesema kitu kikubwa sana.
Binafsi sielewi kwa nini ukitoa hoja juu ya Mh Rais,, unaambiwa "Unateseka nini wewe SukumaGang , mara MATAGA".
Watu wafuatilie hata nyuzi zangu na koment zangu, nilimkosoa sana Hayati. Sasa iweje nongwa kumkosoa Rais wetu wa awamu ya sita?!
Kama mtu alikuwa mwimba pambio halafu leo hii anageuka ankuwa mtoa hoja ni dhahiri watu watambeza tu.
 
Hawaujui Mkuu ufukara wa Watanzania wengi sijui kwa kupretend au ni kweli hawajui hali halisi ya maisha ya Watanzania wengi.
Mkuu ni kweli hawa viongozi hawana sense yoyote juu ya ufukara na hali za watanzania.

Hata Magufuli hakuujua, ndio maana akaishia kufanya makosa mengi sana na kutesa watu tu.

Sasa kama Mama anawaza hivi, ataelewa atatue vipi shida za watu wake?!

Wanalipaje kidogo kidogo wkt ukoo mzima wamechanga, na haijatosha.

Naúmia sana kwamba naye Mama huenda hajui ufukara
 
Hilo nalo ni jambo linalozima sana mwako wa watu kutumia maarifa yao. Motisha ni issue sana.
Tunakosea wapi sisi kama nchi? Ni ajabu huyo tabibu unakuta analipwa laki 9, hakuna gari ya wagonjwa, hata ikiwepo mafuta ni changamoto. Wakati upande wa pili wapiga meza wanapata mishahara, marupurupu mpaka wanasaza.......

Vipaumbele!
 
Nitakupa mfano mmoja wa afisa tabibu mmoja ambaye chama cha madaktari mwaka jana walimpa tuzo kwenyw mkutano wao ambao JPM alikuwa mgeni rasmi.
Huyo jamaa alipangiwa kazi Mbarali nadhani kijijini huko kwenye zahanati.

Alipofika akagundua kuna vifo vingi vinavyosababishwa na uzazi kwenye hilo eneo na wengine wanajifungulia njiani.

Kama tabibu tu akaamua kuunda ka-timu kwa kushirikisha viongozi wa kijiji cha kuhakikisha kila mjamzito anafatiliwa na hiyo timu, siku zake zikikaribia tayari kunakuwa na maandalizi kupitia kwa mjumbe wa mtaa husika, na hapo itatafutwa baiskeli ama chochote atawahishwa zanahati kwa ajili ya kuhudumiwa.

Walimpa tuzo kwa kuwa alipambana mpaka kukawa hakuna kifo kinachosababishwa na matatizo ya uzazi kwenye hiyo kata kwa miaka nadhani mitatu mfululizo.

Mfano huo unaonyesha jinsi jamaa alivyotimiza wajibu wake kwa Taifa.

Nchi hii kila raia akitimiza wajibu wake kwa maarifa aliyonayo tutafika mbali sana.
Mfanyakazi atimize wajibu wake, mfanyabiashara pia.
Mtu akicha kusafisha eneo lake au mazingira ati kwa kuwa analipa kodi hivyo serikali iweke utaratibu wa kusafisha mitaa huko ni kukosa maarifa.

Mtu anaishi mtaa ambao wazee na maskini hawatibiwi kwa kuwa hawana hata buku ya kumuona daktari anakimbilia kuilalamikia hospitali badala ya kufanya maarifa na kuishirikisha jamii kupata suluhisho.

Yule tabibu angeamua kuwa anaandika ripoti kila mwezi na kuzituma serikalini kila mara kusisitiza uwepo wa vifo vinavosababishwa na uzazi ungekuta mpaka leo watu hapo kijijini kwake wanakufa kwa tatizo hilo.

Naamini sana kwenye kila mtu kutimiza wajibu na kutumia maarifa kubadili hali ya mahali alipo.
Mkuu hii imenigusa sana.
Lakini je serikali yetu inatimiza wajibu wake kwa wananchi?!
Niliwahi kwenda Njombe huko imeanzishwa wilaya mpya, barabara ikachongwa kwenda wilayani, ila kuna mashamba ya miti ya wananchi, uwekezaji mkubwa maelfu ya mahekari, tangu uhuru hakuna barabara, na mvua ikinyesha hakuingiliki.

Unaelewa maamuzi ya kipumbavu ya kisiasa?!

Nchi hii.....
 
Na kwa nini watu wetu hawawezi kujiongoza hata kwa mambo ya kijamii. Je, ni mfumo wa elimu usiojenga? Au hulka gani?

Pili: Tunataka serikali na Rais mwenye uwezo wa kusimamia mageuzi makubwa.
Kwanza ni elimu kwa mtu mmoja mmoja na exposure ya mtu kama mtu nini anajua na umuhimu wake wa kujithamisha Ili asiwe mzigo, mnyonge na masikini huku akitumia muda wake vizuri kutengeneza thamani yake, pili ndo jamii inayotuzunguka hasa wazazi jinsi ya kulea watoto wao katika misingi ya kutumia muda vizuri na kujithamisha kielimu, maisha nje shule au kazi, displine ya mtoto mpaka kufika uzee na mzazi naye kuwajibishwa na jamii na serikali na serikali nayo iwajibishwe na wananchi maana kila sehemu kuna kujisahau hivyo Sheria zinatakiwa kuwa update kila muda kulingana na wakati Ili kuleta uwajibikaji wa kila mtu kama Taifa na ndo maana unaona wanaojielewa wachache wanataka katiba mpya itakayoleta Sheria mpya, mfano mtu mzima aanzie miaka 18 na siyo miaka 13 kama zamani, serikali itumie muda mwingi kuwajibika na siyo kuteua kila siku utaelewa kwanini, wazazi wawajibike kwa watoto wao Kama wakishindwa serikali inawadispline hao watoto, watoto kusoma kwa lazima nao hivyo hivyo wakikosea kama kubeba bila ndoa serikali iwaweke ndani hata miezi 3 wakilima, na vijana wa kiume hivyo hivyo wakivuta bangi na madawa ya kulevya wawekwe ndani hata mwaka wakilimishwa hapo kila mtu atawajibika.
 
Binafsi hii nchi aliiweza magufuli peke ake, ili maendeleo yawepo uvunjifu wa mfumo wa kidemokrasia lazima uwepo. hivi viatu alivyovaa mama etu mpendwa ni vigumu na vinahitaji utulivu wa mwili na akili, kwa mwanamke ambaye ameumbwa kuongozwa hawezi kutufikisha popote. unajua hayati hakuwa akimsikiliza kila mtu alifanya vile akili yake ilivyomtuma maana alijua miluzi mingi humpoteza mbwa pia alijua kuwa nchi haijengwi kwa siasa bali kwa jasho na damu na ndo maana alikuwa tayari kupoteza damu yake ili kuleta maendeleo yenye tija, tuache kuwa wabinafsi richa ya kuwa wananchi wengi ni fukara ila hayati alipambana kuijenga nchi kuwaacha wananchi wanaumia ili vizazi vyao vije vifurahie matunda ya jasho za baba zao, ila watanzania wengi hatupo tayari kujitoa kwaajili ya future ya watoto wetu, kila mmoja ana roho ya ubinafsi anaona ni bora aje ateseke mtoto wake ila yeye ale matunda ya nchi. na ndo maana hatukusita kumpinga. Ok turudi kwenye mada, katika kitu cha umuhimu ambacho raisi anatakiwa kukifanya ni kuhakikisha anabadilisha mfumo wa elimu na kuongeza idadi ya technical schools and colleges ili kutengeneza watu wanaoweza kujiajili, pia angewekeza katika kuwapa sapoti local inovators ili kuikuza teknolojia yetu maana hili litapunguza cost burden kwenye foreign importation, huenda maraisi waliopita wangewasapoti local inovators sasa ivi tungekuwa tunatengeneza magari yetu wenyewe, viwanda vingekua, un employment rate ingepungua, kilimo kingebadirika na watu wangevuna mpaka wasingekuwa na mahali pa kuvipeleka vyakula, ila kwa sababu mawazo yao yamefungwa ndo maana akitokea mtu amegundua kitu anasainiwa na mataifa ya kibeberu ili wakawanufaishe wazungu waje watunyonye wakati sisi tunamuona mpuuzi eti hakina quality kitahatarisha maisha ya watu ivii mmesahau kuwa hata britain iliyosumbua kuwa na viwanda vikubwa karne ya 16 walianza na mfumo mdogo (stem engine)?. nchi yetu inahitaji raisi mwenye fikra za kujilisha wenyewe na sio kuombaomba maana hata marekani inapasua vichwa kwa kuwa ba uchumi mkubwa duniani kwa sababu ilipata maraisi wenye akili, wenye kushindana kuiondoa nchi kutoka kwenye umasikini na sio kushindana kwa kiki, tukiendelea kukaza vichwa tutabaki nyumanyuma kama koti la babu msizilo, wazungu wataendelea kututafuna vichwa wakati sisi tukiendelea kuwachekea.
yangu ni hayo tu wakuu.
Hii hoja yako ni pana sana.
Ila kiufupi najua kuna sehemu JPM alikosea. Angeweza kuwa Rais mzuri ila alikosea sana sehemu.

Shida ya kwanza ni wanasiasa wetu.
Fikiria nchi hii tumeshachimba kila madini, lakini hatujatoboa maisha.

Nyerere alivoona wazungu wanambananisha , na ile Bulyanhulu ya almasi akaona haijaleta faida kiivo. Aliamua kuacha madini yakae tu.
Alisema uzuri hayaozi.
Huko mbele mtapata uwezo, mtachimba wenyewe mfaidike.
Na aliweka kambi za jeshi JWTZ karibia kila palipo na madini.
Sasa waliofata walichofanya. Dahh..
Kasome namna kambi ya Buhemba JKT ilivyovunjwa, nilikuwa Butiama mm wkt huo.
Mkapa Mungu amsamehe.
Cc: barafu , Mzee Mwanakijiji , Malcolm X5 , tindo , technically , BAK
 
Kwa kifupi Katiba ya 1977 , ni bomu hata chama tawala kimekubali hilo.
Kwa muda ule ilikuwa sawa ila kwasasa inahitajika mpya, kila mtu adai katiba mpya maana ndo urithi walioachiwa na baba wa Taifa Nyerere kwa wananchi wawe na mkataba wao na serikali utakaowaongoza kudai haki zao. Hao waajili wa serikali wananchi wanatakiwa kudai katiba mpya Ili watengeneze makubaliano ya wakati huu.
 
Nilishangaa, halafu anasema eti kidogo kidogo tunaenda.
Na hii ya kujenga shule moja ya Bweni ya Wasichana kila mkoa.
SERIOUS!??
Ni kama anafanya 'favour' au anatoa zawadi.
Tunawezaje kupaka rangi tatizo kubwa tena ktk 'level' ya Urais?!

Mambo mengin hata washauri wake waone aibu.

Hiyo ya mashuka 200 haikutakiwa hata kutangazwa in public.
200x11000=2,200,000 hicho ndo kiasi alichotoa raisi wetu mama samia suluh hassani
 
Mlaumu kipenzi chako jiwe, dhamana na matarajio ya ofisi namba moja aliiweka usawa wa sakafu.
Siku hizi mtu huwezi hata kutoa constructive criticism humu bila ya kuambiwa unamchukia Samia!

SMH
 
Mkuu ni kweli hawa viongozi hawana sense yoyote juu ya ufukara na hali za watanzania.

Hata Magufuli hakuujua, ndio maana akaishia kufanya makosa mengi sana na kutesa watu tu.

Sasa kama Mama anawaza hivi, ataelewa atatue vipi shida za watu wake?!

Wanalipaje kidogo kidogo wkt ukoo mzima wamechanga, na haijatosha.

Naúmia sana kwamba naye Mama huenda hajui ufukara
So gharama zipo juu tunachotakiwa kuomba gharama za matibabu ziwe chini kulingana na vipato vyetu lakini tukilazimisha ziwe bure kabisa haitawezekana kikubwa gharama za kuokoa uhai ziwe chini kila mmoja aweze kulipia hilo ndo Jambo linalohitajika kwasasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom