Kesho kunani
Member
- Sep 10, 2023
- 72
- 191
Samia Ruvuma tumekukosea Nini?
Hili swali Nilimuuliza magufuli na Leo na kuuliza wewe. Tumekukosea Nini? Wewe na serikali yako hawa wangoni, wayao, wandendeule na wamatengo wamekukosea Nini? Inakuwaje hivi licha ya upendo wote tunaowapa wewe na chama chako?
Hivi unajua kwenye huu mkoa hawajawahi kutoa ubunge kwa upinzani tangu vyama vingi vianze? Inakuwaje Sasa mnawafanyia hivi? Why why Samia? Whyyyy (in Mac Regan voice).
Au unataka kufanya Kama alivyofanya mtangulizi wako magufuli?maana yeye hata kwenye kampeni hakuja,coz alijua aje au asije wanaruvuma watampa tu kura na kweli walimpa.Toka aingie madarakani hakuja huku Sana Sana alipita tu Kama anapita njia.
Naona na wewe unampango huo, Toka uingie madarakani hujakanyaga hii ardhi, na sidhani Kama unampango huo. Najua unajua uje au usije tutakupa tu kura.
Ila sio fair mama, wewe ni kiongozi wa wote. Inakuwaje mikoa mingine unaenda zaidi ya Mara tano na mkoa mwingine hukanyagj kabisa? Whyyyy.
Mikoa ya kaskazini wanachagua Sana upinzani lakini umeenda zaidi ya Mara mbili, sisi huku ambao ni CCM tupu why hauji?
Mmetudharau au? Ndio,mmetudharau. Najua hakuna mradi wowote mkubwa wa kuja kufungua ndo Mana hauji. Endelea kutokuja.
Lastly, wanaruvuma acheni kudanganywa kuwa mkichagua ccm ndio mtapendwa ,huo ni uongo. Oneni mikoa ya kaskazini,wanachagua upinzani lakini miradi kibao na ziara za raisi haziiishi.
Amkeni, acheni uzombi wa kukikumbatia hiki chama. Hamuoni mnadharilika.. Hawa watu wanatuona nyani....basi bana,acha nimalizie supu ya upupu.
Kesho kunani.
Kwasasa songea
Majengo mnadani, Bandani kwa mama amina.
Hili swali Nilimuuliza magufuli na Leo na kuuliza wewe. Tumekukosea Nini? Wewe na serikali yako hawa wangoni, wayao, wandendeule na wamatengo wamekukosea Nini? Inakuwaje hivi licha ya upendo wote tunaowapa wewe na chama chako?
Hivi unajua kwenye huu mkoa hawajawahi kutoa ubunge kwa upinzani tangu vyama vingi vianze? Inakuwaje Sasa mnawafanyia hivi? Why why Samia? Whyyyy (in Mac Regan voice).
Au unataka kufanya Kama alivyofanya mtangulizi wako magufuli?maana yeye hata kwenye kampeni hakuja,coz alijua aje au asije wanaruvuma watampa tu kura na kweli walimpa.Toka aingie madarakani hakuja huku Sana Sana alipita tu Kama anapita njia.
Naona na wewe unampango huo, Toka uingie madarakani hujakanyaga hii ardhi, na sidhani Kama unampango huo. Najua unajua uje au usije tutakupa tu kura.
Ila sio fair mama, wewe ni kiongozi wa wote. Inakuwaje mikoa mingine unaenda zaidi ya Mara tano na mkoa mwingine hukanyagj kabisa? Whyyyy.
Mikoa ya kaskazini wanachagua Sana upinzani lakini umeenda zaidi ya Mara mbili, sisi huku ambao ni CCM tupu why hauji?
Mmetudharau au? Ndio,mmetudharau. Najua hakuna mradi wowote mkubwa wa kuja kufungua ndo Mana hauji. Endelea kutokuja.
Lastly, wanaruvuma acheni kudanganywa kuwa mkichagua ccm ndio mtapendwa ,huo ni uongo. Oneni mikoa ya kaskazini,wanachagua upinzani lakini miradi kibao na ziara za raisi haziiishi.
Amkeni, acheni uzombi wa kukikumbatia hiki chama. Hamuoni mnadharilika.. Hawa watu wanatuona nyani....basi bana,acha nimalizie supu ya upupu.
Kesho kunani.
Kwasasa songea
Majengo mnadani, Bandani kwa mama amina.