vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 2,668
- 5,278
Rais Samia ukimtazama kwa haraka haraka ni mtu mpole na mstaarabu
Ukimsikiliza maneno yake ni mtu anayechagua sana maneno matamu ya kuzungumza kulingana na umma anaosema nao
Lakini ukiangalia sura yake kwa kina (psychology) kuna mambo yanamsumbua mambo hayo ni TANGANYIKA
Kutokana na hotuba za mara kwa mara bila kuangalia CV yake ukiniliza amebobea kwenye nini
Nitakujubu amebobea kwenye elimu ya dini na mahusiano ya jamii hasa jamii yenye utamaduni wake
Nikianza na TANGANYIKA
Kama walivyo wazanzibar wengi wakitajiwa TANGANYIKA akilini mwao huja dubwasha linaloikalia Zanzibar kimabavu
Rais Samia anaichukulia TANGANYIKA hivyo huu pia ni mtazamo wa waarabu pia
Wazanzibar wao hujiona ni Waarabu kwahiyo tuseme Waarabu weusi wa Zanzibar hujichukulua wanatawaliwa
Kwa mtazamo yakinifu Rais Samia alipochukua madaraka aliona hii ni nafasi ya kulipa kisasi kwa jinsi tulivyoteswa na TANGANYIKA
Hapo kwenye kulipa kisasi kwa kuwa Samia hana mamlaka ya kuitoa TANGANYIKA kwenye muungano njia sahihi ya yeye kulipa kisasi ikawa ni kufanya aliyofanya KASHFA YA DUBAI (kuuza nchi)
Hili la bandari kwake halikuwa gumu kwasababu alikuwa anaungwa mkono na mstaafu fulani kwahiyo ikawa ni kumsukuma mlevi (waarabu chukueni buana hata kaka yangu hana shida amebariki)
Zile hotuba za upole za samia sio yeye!
Samia halisi ni yule aliyeongea baada ya spkia ndugai kusema nchi itapigwa mnada yule ndiye Samia halisi
S
Samia ni mwenye hasira sana/hutunza vitu moyoni! Unafikiri kwanini alimfukuza Lukuvi uwaziri? Alitunza dukuduku moyoni
Samia hapendi kufanya kazi na watu ambao hawafanani utamaduni ni basi tu kwasababu yupo TANGANYIKA
Samia anaipenda Zanzibar kuliko TANGANYIKA haijalishi anaongoza wapi
Samia anaamini kuwapa bandari waarabu ni njia bora ya kulipa kisasi kwa watanganyika kwani waraabu watakuwa na nafasi ya kujitanua kiutamaduni
Itaendelea tolea lijalo
Huyo ndiye Samia
Ukimsikiliza maneno yake ni mtu anayechagua sana maneno matamu ya kuzungumza kulingana na umma anaosema nao
Lakini ukiangalia sura yake kwa kina (psychology) kuna mambo yanamsumbua mambo hayo ni TANGANYIKA
Kutokana na hotuba za mara kwa mara bila kuangalia CV yake ukiniliza amebobea kwenye nini
Nitakujubu amebobea kwenye elimu ya dini na mahusiano ya jamii hasa jamii yenye utamaduni wake
Nikianza na TANGANYIKA
Kama walivyo wazanzibar wengi wakitajiwa TANGANYIKA akilini mwao huja dubwasha linaloikalia Zanzibar kimabavu
Rais Samia anaichukulia TANGANYIKA hivyo huu pia ni mtazamo wa waarabu pia
Wazanzibar wao hujiona ni Waarabu kwahiyo tuseme Waarabu weusi wa Zanzibar hujichukulua wanatawaliwa
Kwa mtazamo yakinifu Rais Samia alipochukua madaraka aliona hii ni nafasi ya kulipa kisasi kwa jinsi tulivyoteswa na TANGANYIKA
Hapo kwenye kulipa kisasi kwa kuwa Samia hana mamlaka ya kuitoa TANGANYIKA kwenye muungano njia sahihi ya yeye kulipa kisasi ikawa ni kufanya aliyofanya KASHFA YA DUBAI (kuuza nchi)
Hili la bandari kwake halikuwa gumu kwasababu alikuwa anaungwa mkono na mstaafu fulani kwahiyo ikawa ni kumsukuma mlevi (waarabu chukueni buana hata kaka yangu hana shida amebariki)
Zile hotuba za upole za samia sio yeye!
Samia halisi ni yule aliyeongea baada ya spkia ndugai kusema nchi itapigwa mnada yule ndiye Samia halisi
S
Samia ni mwenye hasira sana/hutunza vitu moyoni! Unafikiri kwanini alimfukuza Lukuvi uwaziri? Alitunza dukuduku moyoni
Samia hapendi kufanya kazi na watu ambao hawafanani utamaduni ni basi tu kwasababu yupo TANGANYIKA
Samia anaipenda Zanzibar kuliko TANGANYIKA haijalishi anaongoza wapi
Samia anaamini kuwapa bandari waarabu ni njia bora ya kulipa kisasi kwa watanganyika kwani waraabu watakuwa na nafasi ya kujitanua kiutamaduni
Itaendelea tolea lijalo
Huyo ndiye Samia