Rais Samia mjue adui yako, hao wenye ndoto za urais watakukwamisha tu

Mzalendo Uchwara

JF-Expert Member
Jan 26, 2020
3,721
11,717
Sio dhambi wala jinai kuwa na ambitions za kuusaka uongozi wa juu wa nchi, lakini wengi wanakuwa consumed na ndoto hizo, wako distracted, wanafanya siasa zaidi kuliko kazi waliyopewa, wanahangaika kukusanya fedha na kusuka mitandao yao. Watu hao sio wazuri kwako.

Moja ya mambo yaliyomfanya Hayati Magufuli kuwa waziri bora kipindi kile ni kwamba hakuwa anapoteza muda kufukuzia ndoto ya Urais. Alikuwa bize kutekeleza majukumu yake, umpende au umchukie ukweli ni kwamba he was reliable. Rais alikuwa anapumzika na kupumua akiwa na uhakika kuwa kwenye wizara yupo mtu ambaye focus yake 100% ni kuifanya kazi aliyopewa.

Pamoja na mabadiliko iliyoyafanya, lakini bado umeendelea kuwakumbatia hao watu ukiamini wanaushawishi mkubwa na watakusaidia kisiasa 2025. Lakini ukweli ni kwamba utendaji kazi wa hao watu ni wa hovyo kwakua akili yao haipo kwenye kazi waliyopewa.

Na lingine la muhimu zaidi ni kwamba hao watu watafanya juu chini kukwamisha mchakato wa katiba mpya, nani hataki ufalme, nguvu na utukufu wa kiti cha urais wa JMT kama zilivyo sasa??

Kama kweli unayo nia ya kusonga mbele na kutuachia katiba mpya, basi jitahidi uwe na watu kama akina Doto, Mbarawa na wengine wa aina hiyo. Wanaweza kuwa na mapungufu madogo madogo lakini akili zao zipo kazini.

Mzee Mwinyi, Ben Mkapa, JPM na hata wewe mwenyewe hamkuwahi kuusaka urais kama hao watu wanavyofanya. Mwalimu wao na kiongozi wa genge lao unamjua. Watakuharibia.
 
MWALIMU ANAHITIMISHA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya.

Nimeonya tahadhali nimetoka ushauri nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia
Tanzania ailinde waovu wasiivunde

Nasi tumsaidie yote tusimuachie.
Amina Tena Amina Amina Tena Amina.

JK Nyerere.
 
Sio dhambi wala jinai kuwa na ambitions za kuusaka uongozi wa juu wa nchi, lakini wengi wanakuwa consumed na ndoto hizo, wako distracted, wanafanya siasa zaidi kuliko kazi waliyopewa, wanahangaika kukusanya fedha na kusuka mitandao yao. Watu hao sio wazuri kwako...
Mkuu Mzalendo Uchwara , thanks kwa mawazo yako but I'd like to differ, hatutaki tena rais wa JMT by default au marais wa ku beep!, tunataka rais mwenye ambition ya kuwa rais wa JMT, hivyo anakuwa na vision ya Tanzania anayoitaka hivyo anakuwa na a mission to accomplish.

Angalia Obama alikoanzia, sisi pia tuna Obama wetu!, he is in the right direction, kesha onyesha ability and capability, sasa ni usawa wa anga za kimataifa to refine him.
P
 
Kikubwa asifanye makosa, na asitake kumfurahisha mtu kwa maslahi binafsi.

Lakini ni pagumu sana, kwa sababu wengi wanaomtumia taarifa ni wana maslahi binafsi na mtandao
Ni mkongwe na nguli, wenyewe wanasema aliwahi kuwa msaidizi wa moja ya mabosi bora kabisa wa ile taasisi yao. Bila shaka alijifunza kutoka kwa the best.
 
Sio dhambi wala jinai kuwa na ambitions za kuusaka uongozi wa juu wa nchi, lakini wengi wanakuwa consumed na ndoto hizo, wako distracted, wanafanya siasa zaidi kuliko kazi waliyopewa, wanahangaika kukusanya fedha na kusuka mitandao yao. Watu hao sio wazuri kwako...
Raid Dkt Samia alikosea sana tena kosa kubwa kumtoa Kalemani nafasi ya Uwaziri nishati tena mpaka akafuatuliwa na genge la wauaji kisa kachonganishwa na Rais Dkt Samia.

Kalemani ni kauzu sana yaani ni mtu fulani asiyekuwa na roho ya kibinaadamu na siyo muungwana ila kwenye kusimamia vitu anaweza.

Makamba tulimshauri toka mwanzo aache kumdhihaki Dkt Magufuli na asijifanye TANESCO au wizara ya nishati iliharibiwa yeye eti kaja kurekebisha atembelee nyota ya kalemani ila hakutaka kusikia ila sasa tunaamini ataenda kutemwa nafasi ya uwaziri.

Kwa ufupi kamharibia sana image Dkt Samia tena yeye ni chanzo cha anguko la Dkt Samia. Afadhali kampeleka huko mambo ya nje.
 
Mkuu Mzalendo Uchwara , thanks kwa mawazo yako but I'd like to differ, hatutaki tena rais wa JMT by default au marais wa ku beep!, tunataka rais mwenye ambition ya kuwa rais wa JMT, hivyo anakuwa na vision ya Tanzania anayoitaka hivyo anakuwa na a mission to accomplish.

Angalia Obama alikoanzia, sisi pia tuna Obama wetu!, he is in the right direction, kesha onyesha ability and capability, sasa ni usawa wa anga za kimataifa to refine him.
P
Hadi anaondoka, crane la 26 tonnes halijawasili!!
 
Moja ya mabadiliko ya muhimu aliyofanya Mh.Rais kuliko kote ni Wizara ya Nishati

Mh. Waziri alipambana kwa hali na mali afanikiwe pale Wizarani ili atumie mafanikio yale kama kete yake ya kisiasa mbele ya safari

Mwandamizi nae akawa anatumia kila namna kumkwamisha Mwandamizi mwenzie ili asipate kiki ya kisasa

Rais kagundua Huduma ya nishati ya Umeme imegeuzwa kete ya Kisiasa…kaamua amalize ugomvi kwa maslahi ya Nchi

Hongera Rais
 
Mkuu Mzalendo Uchwara , thanks kwa mawazo yako but I'd like to differ, hatutaki tena rais wa JMT by default au marais wa ku beep!, tunataka rais mwenye ambition ya kuwa rais wa JMT, hivyo anakuwa na vision ya Tanzania anayoitaka hivyo anakuwa na a mission to accomplish.

Angalia Obama alikoanzia, sisi pia tuna Obama wetu!, he is in the right direction, kesha onyesha ability and capability, sasa ni usawa wa anga za kimataifa to refine him.
P
Ana vision ya kula rushwa, hatumtaki mla rushwa awe raisi wetu! kama anashindwa kusimamia shirika kweli ataweza kuongoza nchi?
 
Mkuu Mzalendo Uchwara , thanks kwa mawazo yako but I'd like to differ, hatutaki tena rais wa JMT by default au marais wa ku beep!, tunataka rais mwenye ambition ya kuwa rais wa JMT, hivyo anakuwa na vision ya Tanzania anayoitaka hivyo anakuwa na a mission to accomplish.

Angalia Obama alikoanzia, sisi pia tuna Obama wetu!, he is in the right direction, kesha onyesha ability and capability, sasa ni usawa wa anga za kimataifa to refine him.
P
Ni ndoto za Abunuwasi kwa Mwezi wa Kwanza!
 
Back
Top Bottom