Wapo wajeda wengi wenye uwezo wa kuongoza JW akiwemo Luteni Urio.....😅😅. Hivi Urio yuko wapi sasa? Stori zake zinataka kuyeyuka kimyakimya.Tufuate sheria kama umri umefika ni muhimu akastaafu.
Hii tabia ya kuongeza muda wa kustaafu huku vijana wakiozea mitaani ni ujinga na upumbavu.
Tanzania ni kubwa na wapo wajeda kibao ambao wana sifa na uwezo wa kuongoza JWTZ.