Najaribu kuwaza tu in deep thinking
Rais kamaliza yake kwenye sakata la Mbowe et al. Kaonyesha dhamira dhabiti ya "kutubu".
Nawaza, Majaji wa kesi hiyo walikiuka sheria wazi wazi bila kificho. Je, wao wanajisafishaje? Historia itawahukumu vipi? Majaji wanafutaje historia ya Jaji wa mchongo? Idara ya Mahakama inajisafishaje? Maana Kuna vitu vya ajabu waliviandika majaji wakijua fika wanakiuka haki ambayo waliapa kunilinda.
Mh. Jaji Mkuu, tafàkari chukua hatua!
Rais kamaliza yake kwenye sakata la Mbowe et al. Kaonyesha dhamira dhabiti ya "kutubu".
Nawaza, Majaji wa kesi hiyo walikiuka sheria wazi wazi bila kificho. Je, wao wanajisafishaje? Historia itawahukumu vipi? Majaji wanafutaje historia ya Jaji wa mchongo? Idara ya Mahakama inajisafishaje? Maana Kuna vitu vya ajabu waliviandika majaji wakijua fika wanakiuka haki ambayo waliapa kunilinda.
Mh. Jaji Mkuu, tafàkari chukua hatua!