Kijana LOGICS
Senior Member
- Dec 16, 2023
- 140
- 525
Huwezi kusikia hâta siku MOJA rais Samia akisema serikali itafanya moja MBILI Tatu kuajiri vijana jobless Tanzania.
Ni kama vijana wamesahalika kabsa hâta ajira zikitoka zinakua chache mno.
Kama VP serikali iongeze Kodi vijana jobless wapatiwe ajira kutokana n'a pesa za tozo
Mfano rais wa Kenya anatoa speech mbali mbali namna vijan wa Kenya watapatiwa ajira.
Bora maguful alisema Tanzania ya viwanda manake vijana wangepata ajira wiwandani.
Mimi ni jobless miaka 6 Niko mtaani masomo chemistry na biology
Ni kama vijana wamesahalika kabsa hâta ajira zikitoka zinakua chache mno.
Kama VP serikali iongeze Kodi vijana jobless wapatiwe ajira kutokana n'a pesa za tozo
Mfano rais wa Kenya anatoa speech mbali mbali namna vijan wa Kenya watapatiwa ajira.
Bora maguful alisema Tanzania ya viwanda manake vijana wangepata ajira wiwandani.
Mimi ni jobless miaka 6 Niko mtaani masomo chemistry na biology