Rais Samia - CDM wakikashfu mamlaka waonywe, wakiachwa wanajenga usugu - watasumbua

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Oct 7, 2020
1,421
1,279
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
 
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
Una akili kisoda. Ukikua utaacha.
 
Kama mtu akipotosha wewe siuseme ukweli?
Mfano wamesema viongozi wa dini wamepewa vibali vya kuingiza sukari nchini na viongozi hao sio wafanya biashara. Wameenda mbali zaidi wakasema kwamba kama mnataka wataje majina bisheni.

Ninadhani serikali ndio inatakiwa iaeme sio kweli ili wapinzani wao washindwe kuthibitisha ndio wawakemee.
Mleta mada iombe serikali imwambie Lissu ni muongo lakini usiseme aonywe.

Ukisema wakiachwa wataota usugu, nao wanaona kunawatendaji wameota usugu
 
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
Hiyo CDM ni chama gani cha siasa?

Kwa sasa na kwa kumbukumbu zangu ni vyama vitatu tu vinavyojitahidi kufanya shughuli zao za kisiasa..
1. CHADEMA
2. CCM na
3. ACT - Wazalendo kwa mbali kidogo

Sikijui na sijawahi kukisikia chama chenye jina la CDM. Ni kipi hicho na ni cha wapi eti?
 
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
Kwa taarifa yako uongo kwenye kazi za siasa ni lazima na ni moja ya kazi walizonazo wanasiasa ,kama haujui kutunga uongo ukaelekea na ukaaminika basi haujakuwa mwanasiasa mbobezi.

Uongo ni lazima katika kazi ya siasa hata serikali ikifanya jambo la kweli ,wewe mpinzani ni lazima ulitie ila na kuongeza chunvi kibao alimuradu kuipakazia na kunyesha serikali ni mbovu ,hio ndio siasa za upinzani .ila kutukana hio sio siasa ni kuzidiwa nguvu na kuishiwa hila na mbinu za kisiasa,
 
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
kwahiyo unataka watu wasiwe na uhuru wa kuongea? hata mambo ya msingi? kwani wametukana? jibuni hoja.
 
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
Wewe udhibitiwe,upuuzi wako ni mbaya sana.
 
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
CCM TULIENI DAWA IWAINGIE
 
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
Wewe unasemaje kuhusu Uzanzibar, kuondolewa kwa Maasai Ngorongoro na Dp World?
 
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
Sisi pia tunahaki ya kusoma na kukujibu hivyo weka hoja zako hapa zinazuhusu madai yako, vinginevyo ni majungu.
 
Back
Top Bottom