Rais Samia atakuja kushinda tuzo ya Kiongozi Bora ya Mo Ibrahim

Dan Zwangendaba

JF-Expert Member
Apr 25, 2014
5,482
7,459
Mo Ibrahim Leadership Prize ni tunzo anayopewa kiongozi msataafu aliyetumikia nafasi ya juu kabisa ya uongozi miongoni mwa nchi za Kiafrika, na katika uongozi wake aliheshimu na kuruhusu demokrasia, akasimamia utawala bora na kuondoka madarakani kwa kuheshimu mihula ya kiuongozi na kukabidhi madaraka kwa anayemfuatia.

Mpaka Sasa, Rais Samia ni miongoni mwa marais wachache katika Afrika ambaye ameweza kuweka mizania nzuri ya kusimamia mabadiliko ya kiuchumi, demokrasia, utawala bora na uimrishaji wa huduma za jamii. Kama ataendelea hivi na kuruhusu uchaguzi huru na wa haki hapo 2025 na akaondoka madarakani kwa misingi hiyo, bila shaka atakuwa kiongozi wa kwanza kutoka ukanda wa Afrika Mashabiki na Kati kutwaa tuzo hiyo.

Hapana ubishi kuwa kasi ya Samia katika ujenzi na uimarishaji wa huduma za kijamii hususan elimu, maji na afya haina mfanowe kwa Sasa. Maudhui ya taarifa za habari hususan ITV katika kipindi takribani mwaka Sasa, ni juu ya utekelezaji au uzinduzi wa miradi mbalimbali ya elimu, afya na maji.

Chapa Kazi mama, kazi iendelee.
 
Madam akiweka Katiba tu atavuta pesa ndefu badala ya kuendelea na temporary glory ya kutaka eti chama fulani Kibaki mahali fulani

Katiba ni takwa linaloheshimika duniani

Nafasi hiyo anayo labda ashindwe mwenyewe nadhani hata wale jamaa wa visima kule pembeni watashukuru sana kuwa mama yao kutendea haki nafasi aliyopewa

Sukuma gang wamekwama kabisa kuipata hii na imepita hairudi
 
Mo Ibrahim Leadership Prize ni tunzo anayopewa kiongozi msataafu aliyetumikia nafasi ya juu kabisa ya uongozi miongoni mwa nchi za Kiafrika, na katika uongozi wake aliheshimu na kuruhusu demokrasia, akasimamia utawala bora na kuondoka madarakani kwa kuheshimu mihula ya kiuongozi na kukabidhi madaraka kwa anayemfuatia.

Mpaka Sasa, Rais Samia ni miongoni mwa marais wachache katika Afrika ambaye ameweza kuweka mizania nzuri ya kusimamia mabadiliko ya kiuchumi, demokrasia, utawala bora na uimrishaji wa huduma za jamii. Kama ataendelea hivi na kuruhusu uchaguzi huru na wa haki hapo 2025 na akaondoka madarakani kwa misingi hiyo, bila shaka atakuwa kiongozi wa kwanza kutoka ukanda wa Afrika Mashabiki na Kati kutwaa tuzo hiyo.

Hapana ubishi kuwa kasi ya Samia katika ujenzi na uimarishaji wa huduma za kijamii hususan elimu, maji na afya haina mfanowe kwa Sasa. Maudhui ya taarifa za habari hususan ITV katika kipindi takribani mwaka Sasa, ni juu ya utekelezaji au uzinduzi wa miradi mbalimbali ya elimu, afya na maji.

Chapa Kazi mama, kazi iendelee.
Naunga mkono hoja
P
 
Mo Ibrahim Leadership Prize ni tunzo anayopewa kiongozi msataafu aliyetumikia nafasi ya juu kabisa ya uongozi miongoni mwa nchi za Kiafrika, na katika uongozi wake aliheshimu na kuruhusu demokrasia, akasimamia utawala bora na kuondoka madarakani kwa kuheshimu mihula ya kiuongozi na kukabidhi madaraka kwa anayemfuatia.

Mpaka Sasa, Rais Samia ni miongoni mwa marais wachache katika Afrika ambaye ameweza kuweka mizania nzuri ya kusimamia mabadiliko ya kiuchumi, demokrasia, utawala bora na uimrishaji wa huduma za jamii. Kama ataendelea hivi na kuruhusu uchaguzi huru na wa haki hapo 2025 na akaondoka madarakani kwa misingi hiyo, bila shaka atakuwa kiongozi wa kwanza kutoka ukanda wa Afrika Mashabiki na Kati kutwaa tuzo hiyo.

Hapana ubishi kuwa kasi ya Samia katika ujenzi na uimarishaji wa huduma za kijamii hususan elimu, maji na afya haina mfanowe kwa Sasa. Maudhui ya taarifa za habari hususan ITV katika kipindi takribani mwaka Sasa, ni juu ya utekelezaji au uzinduzi wa miradi mbalimbali ya elimu, afya na maji.

Chapa Kazi mama, kazi iendelee.
Huo wakfu wa Mo Ibrahim bado una hela kweli?
 
Ni kweli kabisa,kwa kuongezea,faida nyingine ambayo Mama ataipata tukipata KATIBA MPYA ni kumpunguzia mzigo wa majukumu,hivyo itaongeza ufanisi katika usimamizi wa Majukumu yake..kwa kuwa atapata muda wa kudeal na Mambo Makubwa kwa nafasi
 
Aliyembambika mbowe kesi nani?
2 yrs amezuia mikutno ya kisiasa

Ha ha haa
Kwakuwa wamesameheana na kuamua kufuata njia ya amani hakuna shida. Mandela na De Clark walipata na kugawana tuzo ya amani ya Nobel kwa pamoja,japokuwa walikuwa MTU na mtesi wake
 
Kwakuwa wamesameheana na kuamua kufuata njia ya amani hakuna shida. Mandela na De Clark walipata na kugawana tuzo ya amani ya Nobel kwa pamoja,japokuwa walikuwa MTU na mtesi wake
Tatizo ni CCM siyo Mama.. ?

Was no 2 in power.

PM ni yuleyule and most ministers ni walewale.
 
Mo Ibrahim Leadership Prize ni tunzo anayopewa kiongozi msataafu aliyetumikia nafasi ya juu kabisa ya uongozi miongoni mwa nchi za Kiafrika, na katika uongozi wake aliheshimu na kuruhusu demokrasia, akasimamia utawala bora na kuondoka madarakani kwa kuheshimu mihula ya kiuongozi na kukabidhi madaraka kwa anayemfuatia.

Mpaka Sasa, Rais Samia ni miongoni mwa marais wachache katika Afrika ambaye ameweza kuweka mizania nzuri ya kusimamia mabadiliko ya kiuchumi, demokrasia, utawala bora na uimrishaji wa huduma za jamii. Kama ataendelea hivi na kuruhusu uchaguzi huru na wa haki hapo 2025 na akaondoka madarakani kwa misingi hiyo, bila shaka atakuwa kiongozi wa kwanza kutoka ukanda wa Afrika Mashabiki na Kati kutwaa tuzo hiyo.

Hapana ubishi kuwa kasi ya Samia katika ujenzi na uimarishaji wa huduma za kijamii hususan elimu, maji na afya haina mfanowe kwa Sasa. Maudhui ya taarifa za habari hususan ITV katika kipindi takribani mwaka Sasa, ni juu ya utekelezaji au uzinduzi wa miradi mbalimbali ya elimu, afya na maji.

Chapa Kazi mama, kazi iendelee.
 
Anatakiwa alete yafuatayo.

1. Katiba Mpya.

2. Tume Huru ya Uchaguzi.

3. Tume ya Ukweli Haki na Maridhiano
 
Tatizo ni CCM siyo Mama.. ?

Was no 2 in power.

PM ni yuleyule and most ministers ni walewale.
CCM Ina utamaduni wa ajabu, maelekezo kutoka juu hufuatwa bila kuhoji.
Hii ni changamoto kubwa sana tuliyo nayo.
Mama anastahili pongezi kwani angefanya maamuzi ya kipuuzi bado angeshangiliwa na yatatekelezwa.
Kuna kila sababu ya kuhakikisha chama kinateua au kuchagua viongozi wenye akili badala ya utaratibu wa kuchukua wale wenzetu wanaojitoa ufahamu/kujilipua n.k.
Huwezi kutofautisha mtaalam, mtu wa dini au asiye na ujuzi wowote. Wote hubwabwaja kujipendekeza kwa kiongozi mkuu kwa kuangalia upepo.
Hata hivyo, viongozi wa zamani wana utulivu wa mawazo na hawana mihemko ya kujipendekeza (ref. Kinana as an example).
Pia wapo wachache wa siku hizi wakiongozwa na Katibu Mkuu Comrade Chongolo.
Kwa ufupi ni kwamba uongozi wa juu wa chama umetulia.
 
Mo Ibrahim Leadership Prize ni tunzo anayopewa kiongozi msataafu aliyetumikia nafasi ya juu kabisa ya uongozi miongoni mwa nchi za Kiafrika, na katika uongozi wake aliheshimu na kuruhusu demokrasia, akasimamia utawala bora na kuondoka madarakani kwa kuheshimu mihula ya kiuongozi na kukabidhi madaraka kwa anayemfuatia.

Mpaka Sasa, Rais Samia ni miongoni mwa marais wachache katika Afrika ambaye ameweza kuweka mizania nzuri ya kusimamia mabadiliko ya kiuchumi, demokrasia, utawala bora na uimrishaji wa huduma za jamii. Kama ataendelea hivi na kuruhusu uchaguzi huru na wa haki hapo 2025 na akaondoka madarakani kwa misingi hiyo, bila shaka atakuwa kiongozi wa kwanza kutoka ukanda wa Afrika Mashabiki na Kati kutwaa tuzo hiyo.

Hapana ubishi kuwa kasi ya Samia katika ujenzi na uimarishaji wa huduma za kijamii hususan elimu, maji na afya haina mfanowe kwa Sasa. Maudhui ya taarifa za habari hususan ITV katika kipindi takribani mwaka Sasa, ni juu ya utekelezaji au uzinduzi wa miradi mbalimbali ya elimu, afya na maji.

Chapa Kazi mama, kazi iendelee.
Kwa lipi?
 
Mo Ibrahim Leadership Prize ni tunzo anayopewa kiongozi msataafu aliyetumikia nafasi ya juu kabisa ya uongozi miongoni mwa nchi za Kiafrika, na katika uongozi wake aliheshimu na kuruhusu demokrasia, akasimamia utawala bora na kuondoka madarakani kwa kuheshimu mihula ya kiuongozi na kukabidhi madaraka kwa anayemfuatia.

Mpaka Sasa, Rais Samia ni miongoni mwa marais wachache katika Afrika ambaye ameweza kuweka mizania nzuri ya kusimamia mabadiliko ya kiuchumi, demokrasia, utawala bora na uimrishaji wa huduma za jamii. Kama ataendelea hivi na kuruhusu uchaguzi huru na wa haki hapo 2025 na akaondoka madarakani kwa misingi hiyo, bila shaka atakuwa kiongozi wa kwanza kutoka ukanda wa Afrika Mashabiki na Kati kutwaa tuzo hiyo.

Hapana ubishi kuwa kasi ya Samia katika ujenzi na uimarishaji wa huduma za kijamii hususan elimu, maji na afya haina mfanowe kwa Sasa. Maudhui ya taarifa za habari hususan ITV katika kipindi takribani mwaka Sasa, ni juu ya utekelezaji au uzinduzi wa miradi mbalimbali ya elimu, afya na maji.

Chapa Kazi mama, kazi iendelee.
UTAKUWA PERIOD WEWE, SIO BURE,
 
Kutowajali watumishi wa umma kuhusu nyongeza ya mishahara a nawezaje kosa .
 
CCM Ina utamaduni wa ajabu, maelekezo kutoka juu hufuatwa bila kuhoji.
Hii ni changamoto kubwa sana tuliyo nayo.
Mama anastahili pongezi kwani angefanya maamuzi ya kipuuzi bado angeshangiliwa na yatatekelezwa.
Kuna kila sababu ya kuhakikisha chama kinateua au kuchagua viongozi wenye akili badala ya utaratibu wa kuchukua wale wenzetu wanaojitoa ufahamu/kujilipua n.k.
Huwezi kutofautisha mtaalam, mtu wa dini au asiye na ujuzi wowote. Wote hubwabwaja kujipendekeza kwa kiongozi mkuu kwa kuangalia upepo.
Hata hivyo, viongozi wa zamani wana utulivu wa mawazo na hawana mihemko ya kujipendekeza (ref. Kinana as an example).
Pia wapo wachache wa siku hizi wakiongozwa na Katibu Mkuu Comrade Chongolo.
Kwa ufupi ni kwamba uongozi wa juu wa chama umetulia.

..Ccm hata akiteuliwa mwenye akili na maadili yasiyo na shaka mfumo wao wa utawala utamharibu tu.

..Mwenyekiti wa Ccm ni Amiri Jeshi Mkuu mwenye madaraka ya ki-mungu mtu.

..Madaraka hayo makubwa kupita kiasi kwa za humlevya mwenyekiti wa Ccm, na pili huwafanya wa chini yake wamtii bila kumhoji.
 
Back
Top Bottom