Rais Samia anatumia mbinu zilizomuangusha Joyce Banda Malawi, na yeye anaweza kuanguka 2025

Huwa simpendi kabisa huyu Jamaa anajiita Mdude Nyagari...
Lakini angalau sasa anaonesha maturity kwenye style yake ya kukosoa...
Hakuna matusi kabisa Kwa alichokiandika....
Hata kama alichoandika sio sahihi..Mimi nimependa Tu maturity ya uandishi ...kutokuwepo Kwa matusi kama twits zake nyingi alizokuwa anarusha zamani...
Tunaweza Ku agree to disagree kwenye hoja ...na bado tukajadiliana kiustaraabu kabisa...
 
Huwa simpendi kabisa huyu Jamaa anajiita Mdude Nyagari...
Lakini angalau sasa anaonesha maturity kwenye style yake ya kukosoa...
Hakuna matusi kabisa Kwa alichokiandika....
Hata kama alichoandika sio sahihi..Mimi nimependa Tu maturity ya uandishi ...kutokuwepo Kwa matusi kama twits zake nyingi alizokuwa anarusha zamani...
Tunaweza Ku agree to disagree kwenye hoja ...na bado tukajadiliana kiustaraabu kabisa...
Mimi pia sikuamini kama muandishi wa hii thread ni Mdude, ilinibidi baada ya kumaliza kusoma hili bandiko nipande tena juu kuhakikisha kama ni yeye. Too much maturity katika ukosoaji wake.
 
Mwaka 2009 Joyce Hilda Banda alijikuta kwenye mshangao wa bahati baada ya kupendekezwa na Rais Bingu wa Mutharika kuwa makamu wa Rais nchini Malawi. Surprise ya namna hii pia ilimkuta Bi. Samia Suluhu Hassan baada ya kupendekezwa na chama chake CCM kuwa mgombea mwenza wa John Pombe Magufuli katika uchaguzi mkuu 2015.

Wote Joyce Hilda Banda na Samia Suluhu Hassan hawajawahi kuwa na ndoto za kuwa makamu wa uRais achilia mbali kuota Urais ambao ulikuja kuwaangukia baadaye kwa nyakati tofauti. Kwa hiyo nafasi hizi za umakamu wa Urais na Urais zimekuja kuwaangukia by surprise bila wao wenyewe kuwa na matarajio hayo.

Tukianza Joyce Hilda Banda mwaka 2012 alijikuta akishika madaraka makubwa ya kuwa Rais wa Malawi baada ya kifo cha ghafla cha Rais Bingu wa Mutharika. Hii tukio halina utofauti na tukio lililomfanya Bi. Samia Suluhu kushika madaraka 2021 baada ya kifo cha Rais John Pombe Magufuli. Joyce Banda alishika madaraka hayo ikiwa imebakia miaka miwili Malawi kuingia katika uchaguzi mkuu huku Bi. Samia akishika madaraka hayo ikibakia miaka minne nchi iingie katika uchaguzi mkuu.

Hivyo basi Joyce Banda alikuwa na nafasi kubwa ya kujijenga zaidi kisiasa na kijamii kwa kuwa mstari wa mbele kutatua shida na kero za wananchi. Kwa bahati mbaya Joyce alishindwa kutumia nafasi hiyo. Kashfa nzito zikaanza kumwandama mwanamama huyo, kashfa nyingi zikihusisha ufisadi wa mali na pesa za umma pamoja na kuiingiza Malawi katika mikataba mibovu. Wapinzani waliposimama na hoja za ufisadi, silaha pekee ambayo Bi. Joyce Banda aliona inafaa ni jinsia yake. Yeye na wafuasi wake wakasimama na kuwajibu wapinzani kwamba wanamshambulia Joyce na hoja za ufisadi kwa sababu yeye ni mwanamke.

Rais Joyce Banda aligeuza jinsia yake kama ngao na kinga yake dhidi ya tuhuma za ufisadi zilizokuwa zimemwandama. Aliwalipa viongozi wa dini na kimila wamtetee na hoja hiyo ya jinsia. Aliwalipia press conference wafuasi wake watetee jinsia yake badala ya kashfa za ufisadi zilizokuwa zinamwandama, akiamini zitamsaidia uchaguzi mkuu uliokuwa unafuata 2014. Wamalawi hawakuwa wajinga uchaguzi mkuu ulipofika waliamua kumpiga chini na kuchagua upinzani.

Joyce akatumia mamlaka yake ya Urais kufuta matokeo ya uchaguzi kwa sababu hakushinda. Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi alikataa na kumtangaza aliyeshinda kutoka chama cha upinzani. Waziri wa Joyce ambaye alikuwa kiherehere na tabia mbovu kama alivyo Nape alijiuwa kwa kujinyonga akihofia maisha yake baada Joyce Banda kuanguka.

Miaka 10 baada ya anguko la Joyce Banda anatokea Samia Suluhu Hassan ambaye anatumia njia zilezile zilizomwangusha Rais Joyce Banda za kujibu kashfa zake za uuzaji wa bandari kwa DP World kwa mkataba wa milele. Tangu sakata la kuuza/kukodisha bandari lianze kupamba moto kwa wiki mbili sasa, Rais Samia ameshindwa kujibu hoja za wanaopinga mkataba huo na badala yake anatumia silaha ya Bi. Joyce Banda, ijapo yeye kaiboresha kwa kuongeza udini na Uzanzibari.

Watu mbalimbali wanasiasa na wasiokuwa wanasiasa wanahoji maswali haya matatu kwamba:

1- Kwanini mkataba huo wa kukodisha bandari hauna kikomo cha muda yani ni wa milele?

2- Kwanini mkataba huo hauwezi kuvunjika hata kama wawekezaji hao wana performance ndogo?

3- Kwanini bandari za Zanzibar hazijajumuishwa kwenye mkataba huo na badala yake ni bandari za Tanzania Bara pekee pamoja na kwamba bandari ni sehemu ya mambo yaliyopo kwenye muungano kwa katiba na sheria za nchi?

Huwezi kuamini kwamba pamoja na washauri wa kisiasa alionao Samia, wataalamu na watu wengine wote waliomzunguka, wameshindwa kujibu hoja hizi. Njia pekee aliyoona inafaa ni kujificha kwenye kichaka jinsia, udini na Uzanzibari ili kutafuta uhalali wa kuuza ama kukodisha bandari zetu kwa mikataba mibovu.

Yani unakodisha/kuuza bandari kwa mkataba wa hovyo , watu wanahoji unajibu kwa sababu mimi ni mwanamke ama muislamu au kwa sababu mimi ni Mzanzibar? Kwani ukiwa mwanamke ama Mzanzibar au mwislamu ndio una uhalali wa kuuza nchi kwa kusaini mikataba mibovu? Aliyekuambia dini au jinsia ni kichaka cha kuficha maovu ni nani?

Ukweli ni kwamba njia hii haitamsaidia Samia na badala yake anaenda kuanguka. Miezi 10 sasa Samia anapoteza ushawishi. Mfumuko wa bei, tozo pamoja na kashfa za ufisadi katika serikali yake ni moja ya vitu vinavyompunguzia mvuto kwa wananchi.

Suala la kuuza bandari kwa mkataba wa milele na milele ndio limemchinja mazima Samia. Mkutano alioufanya Mwanza majuzi ulikuwa na watu wachache licha ya kusomba watu kwa malori lakini ni kama alikuwa anahutubia viongozi wa ccm na watumishi wa umma aliotoka nao Dodoma, halmashauri na jiji. Ile ilikuwa ni message kwamba kwa sasa Samia hatakiwi tena. Njia pekee ambayo itamnyanyua Samia kutoka matopeni alikokwama ni kutupilia mbali mkataba huo wa kuuza bandari pamoja na kuwachukulia hatua mafisadi wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG. Tofauti na hapo hawezi kupata kibali tena 2025 hata angetumia majeshi. Ushauri huu ni chungu kama sumu ya nyigu lakini ukifuatwa ni mtamu kama asali.

Mdude Nyagali 7 x 70
 
Mwaka 2009 Joyce Hilda Banda alijikuta kwenye mshangao wa bahati baada ya kupendekezwa na Rais Bingu wa Mutharika kuwa makamu wa Rais nchini Malawi. Surprise ya namna hii pia ilimkuta Bi. Samia Suluhu Hassan baada ya kupendekezwa na chama chake CCM kuwa mgombea mwenza wa John Pombe Magufuli katika uchaguzi mkuu 2015.

Wote Joyce Hilda Banda na Samia Suluhu Hassan hawajawahi kuwa na ndoto za kuwa makamu wa uRais achilia mbali kuota Urais ambao ulikuja kuwaangukia baadaye kwa nyakati tofauti. Kwa hiyo nafasi hizi za umakamu wa Urais na Urais zimekuja kuwaangukia by surprise bila wao wenyewe kuwa na matarajio hayo.

Tukianza Joyce Hilda Banda mwaka 2012 alijikuta akishika madaraka makubwa ya kuwa Rais wa Malawi baada ya kifo cha ghafla cha Rais Bingu wa Mutharika. Hii tukio halina utofauti na tukio lililomfanya Bi. Samia Suluhu kushika madaraka 2021 baada ya kifo cha Rais John Pombe Magufuli. Joyce Banda alishika madaraka hayo ikiwa imebakia miaka miwili Malawi kuingia katika uchaguzi mkuu huku Bi. Samia akishika madaraka hayo ikibakia miaka minne nchi iingie katika uchaguzi mkuu.

Hivyo basi Joyce Banda alikuwa na nafasi kubwa ya kujijenga zaidi kisiasa na kijamii kwa kuwa mstari wa mbele kutatua shida na kero za wananchi. Kwa bahati mbaya Joyce alishindwa kutumia nafasi hiyo. Kashfa nzito zikaanza kumwandama mwanamama huyo, kashfa nyingi zikihusisha ufisadi wa mali na pesa za umma pamoja na kuiingiza Malawi katika mikataba mibovu. Wapinzani waliposimama na hoja za ufisadi, silaha pekee ambayo Bi. Joyce Banda aliona inafaa ni jinsia yake. Yeye na wafuasi wake wakasimama na kuwajibu wapinzani kwamba wanamshambulia Joyce na hoja za ufisadi kwa sababu yeye ni mwanamke.

Rais Joyce Banda aligeuza jinsia yake kama ngao na kinga yake dhidi ya tuhuma za ufisadi zilizokuwa zimemwandama. Aliwalipa viongozi wa dini na kimila wamtetee na hoja hiyo ya jinsia. Aliwalipia press conference wafuasi wake watetee jinsia yake badala ya kashfa za ufisadi zilizokuwa zinamwandama, akiamini zitamsaidia uchaguzi mkuu uliokuwa unafuata 2014. Wamalawi hawakuwa wajinga uchaguzi mkuu ulipofika waliamua kumpiga chini na kuchagua upinzani.

Joyce akatumia mamlaka yake ya Urais kufuta matokeo ya uchaguzi kwa sababu hakushinda. Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi alikataa na kumtangaza aliyeshinda kutoka chama cha upinzani. Waziri wa Joyce ambaye alikuwa kiherehere na tabia mbovu kama alivyo Nape alijiuwa kwa kujinyonga akihofia maisha yake baada Joyce Banda kuanguka.

Miaka 10 baada ya anguko la Joyce Banda anatokea Samia Suluhu Hassan ambaye anatumia njia zilezile zilizomwangusha Rais Joyce Banda za kujibu kashfa zake za uuzaji wa bandari kwa DP World kwa mkataba wa milele. Tangu sakata la kuuza/kukodisha bandari lianze kupamba moto kwa wiki mbili sasa, Rais Samia ameshindwa kujibu hoja za wanaopinga mkataba huo na badala yake anatumia silaha ya Bi. Joyce Banda, ijapo yeye kaiboresha kwa kuongeza udini na Uzanzibari.

Watu mbalimbali wanasiasa na wasiokuwa wanasiasa wanahoji maswali haya matatu kwamba:

1- Kwanini mkataba huo wa kukodisha bandari hauna kikomo cha muda yani ni wa milele?

2- Kwanini mkataba huo hauwezi kuvunjika hata kama wawekezaji hao wana performance ndogo?

3- Kwanini bandari za Zanzibar hazijajumuishwa kwenye mkataba huo na badala yake ni bandari za Tanzania Bara pekee pamoja na kwamba bandari ni sehemu ya mambo yaliyopo kwenye muungano kwa katiba na sheria za nchi?

Huwezi kuamini kwamba pamoja na washauri wa kisiasa alionao Samia, wataalamu na watu wengine wote waliomzunguka, wameshindwa kujibu hoja hizi. Njia pekee aliyoona inafaa ni kujificha kwenye kichaka jinsia, udini na Uzanzibari ili kutafuta uhalali wa kuuza ama kukodisha bandari zetu kwa mikataba mibovu.

Yani unakodisha/kuuza bandari kwa mkataba wa hovyo , watu wanahoji unajibu kwa sababu mimi ni mwanamke ama muislamu au kwa sababu mimi ni Mzanzibar? Kwani ukiwa mwanamke ama Mzanzibar au mwislamu ndio una uhalali wa kuuza nchi kwa kusaini mikataba mibovu? Aliyekuambia dini au jinsia ni kichaka cha kuficha maovu ni nani?

Ukweli ni kwamba njia hii haitamsaidia Samia na badala yake anaenda kuanguka. Miezi 10 sasa Samia anapoteza ushawishi. Mfumuko wa bei, tozo pamoja na kashfa za ufisadi katika serikali yake ni moja ya vitu vinavyompunguzia mvuto kwa wananchi.

Suala la kuuza bandari kwa mkataba wa milele na milele ndio limemchinja mazima Samia. Mkutano alioufanya Mwanza majuzi ulikuwa na watu wachache licha ya kusomba watu kwa malori lakini ni kama alikuwa anahutubia viongozi wa ccm na watumishi wa umma aliotoka nao Dodoma, halmashauri na jiji. Ile ilikuwa ni message kwamba kwa sasa Samia hatakiwi tena. Njia pekee ambayo itamnyanyua Samia kutoka matopeni alikokwama ni kutupilia mbali mkataba huo wa kuuza bandari pamoja na kuwachukulia hatua mafisadi wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG. Tofauti na hapo hawezi kupata kibali tena 2025 hata angetumia majeshi. Ushauri huu ni chungu kama sumu ya nyigu lakini ukifuatwa ni mtamu kama asali.

Mdude Nyagali 7 x 70.View attachment 2661162
Mdude- mnatumia nguvu kubwa kuhangaika na mkataba ambao haupo
 
Mimi pia sikuamini kama muandishi wa hii thread ni Mdude, ilinibidi baada ya kumaliza kusoma hili bandiko nipande tena juu kuhakikisha kama ni yeye. Too much maturity katika ukosoaji wake.
Yes angekuwa hivi siku zote unampa nafasi ya kumsikiliza..hata Magufuli asingempa kesi...
 
Mwaka 2009 Joyce Hilda Banda alijikuta kwenye mshangao wa bahati baada ya kupendekezwa na Rais Bingu wa Mutharika kuwa makamu wa Rais nchini Malawi. Surprise ya namna hii pia ilimkuta Bi. Samia Suluhu Hassan baada ya kupendekezwa na chama chake CCM kuwa mgombea mwenza wa John Pombe Magufuli katika uchaguzi mkuu 2015.

Wote Joyce Hilda Banda na Samia Suluhu Hassan hawajawahi kuwa na ndoto za kuwa makamu wa uRais achilia mbali kuota Urais ambao ulikuja kuwaangukia baadaye kwa nyakati tofauti. Kwa hiyo nafasi hizi za umakamu wa Urais na Urais zimekuja kuwaangukia by surprise bila wao wenyewe kuwa na matarajio hayo.

Tukianza Joyce Hilda Banda mwaka 2012 alijikuta akishika madaraka makubwa ya kuwa Rais wa Malawi baada ya kifo cha ghafla cha Rais Bingu wa Mutharika. Hii tukio halina utofauti na tukio lililomfanya Bi. Samia Suluhu kushika madaraka 2021 baada ya kifo cha Rais John Pombe Magufuli. Joyce Banda alishika madaraka hayo ikiwa imebakia miaka miwili Malawi kuingia katika uchaguzi mkuu huku Bi. Samia akishika madaraka hayo ikibakia miaka minne nchi iingie katika uchaguzi mkuu.

Hivyo basi Joyce Banda alikuwa na nafasi kubwa ya kujijenga zaidi kisiasa na kijamii kwa kuwa mstari wa mbele kutatua shida na kero za wananchi. Kwa bahati mbaya Joyce alishindwa kutumia nafasi hiyo. Kashfa nzito zikaanza kumwandama mwanamama huyo, kashfa nyingi zikihusisha ufisadi wa mali na pesa za umma pamoja na kuiingiza Malawi katika mikataba mibovu. Wapinzani waliposimama na hoja za ufisadi, silaha pekee ambayo Bi. Joyce Banda aliona inafaa ni jinsia yake. Yeye na wafuasi wake wakasimama na kuwajibu wapinzani kwamba wanamshambulia Joyce na hoja za ufisadi kwa sababu yeye ni mwanamke.

Rais Joyce Banda aligeuza jinsia yake kama ngao na kinga yake dhidi ya tuhuma za ufisadi zilizokuwa zimemwandama. Aliwalipa viongozi wa dini na kimila wamtetee na hoja hiyo ya jinsia. Aliwalipia press conference wafuasi wake watetee jinsia yake badala ya kashfa za ufisadi zilizokuwa zinamwandama, akiamini zitamsaidia uchaguzi mkuu uliokuwa unafuata 2014. Wamalawi hawakuwa wajinga uchaguzi mkuu ulipofika waliamua kumpiga chini na kuchagua upinzani.

Joyce akatumia mamlaka yake ya Urais kufuta matokeo ya uchaguzi kwa sababu hakushinda. Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi alikataa na kumtangaza aliyeshinda kutoka chama cha upinzani. Waziri wa Joyce ambaye alikuwa kiherehere na tabia mbovu kama alivyo Nape alijiuwa kwa kujinyonga akihofia maisha yake baada Joyce Banda kuanguka.

Miaka 10 baada ya anguko la Joyce Banda anatokea Samia Suluhu Hassan ambaye anatumia njia zilezile zilizomwangusha Rais Joyce Banda za kujibu kashfa zake za uuzaji wa bandari kwa DP World kwa mkataba wa milele. Tangu sakata la kuuza/kukodisha bandari lianze kupamba moto kwa wiki mbili sasa, Rais Samia ameshindwa kujibu hoja za wanaopinga mkataba huo na badala yake anatumia silaha ya Bi. Joyce Banda, ijapo yeye kaiboresha kwa kuongeza udini na Uzanzibari.

Watu mbalimbali wanasiasa na wasiokuwa wanasiasa wanahoji maswali haya matatu kwamba:

1- Kwanini mkataba huo wa kukodisha bandari hauna kikomo cha muda yani ni wa milele?

2- Kwanini mkataba huo hauwezi kuvunjika hata kama wawekezaji hao wana performance ndogo?

3- Kwanini bandari za Zanzibar hazijajumuishwa kwenye mkataba huo na badala yake ni bandari za Tanzania Bara pekee pamoja na kwamba bandari ni sehemu ya mambo yaliyopo kwenye muungano kwa katiba na sheria za nchi?

Huwezi kuamini kwamba pamoja na washauri wa kisiasa alionao Samia, wataalamu na watu wengine wote waliomzunguka, wameshindwa kujibu hoja hizi. Njia pekee aliyoona inafaa ni kujificha kwenye kichaka jinsia, udini na Uzanzibari ili kutafuta uhalali wa kuuza ama kukodisha bandari zetu kwa mikataba mibovu.

Yani unakodisha/kuuza bandari kwa mkataba wa hovyo , watu wanahoji unajibu kwa sababu mimi ni mwanamke ama muislamu au kwa sababu mimi ni Mzanzibar? Kwani ukiwa mwanamke ama Mzanzibar au mwislamu ndio una uhalali wa kuuza nchi kwa kusaini mikataba mibovu? Aliyekuambia dini au jinsia ni kichaka cha kuficha maovu ni nani?

Ukweli ni kwamba njia hii haitamsaidia Samia na badala yake anaenda kuanguka. Miezi 10 sasa Samia anapoteza ushawishi. Mfumuko wa bei, tozo pamoja na kashfa za ufisadi katika serikali yake ni moja ya vitu vinavyompunguzia mvuto kwa wananchi.

Suala la kuuza bandari kwa mkataba wa milele na milele ndio limemchinja mazima Samia. Mkutano alioufanya Mwanza majuzi ulikuwa na watu wachache licha ya kusomba watu kwa malori lakini ni kama alikuwa anahutubia viongozi wa ccm na watumishi wa umma aliotoka nao Dodoma, halmashauri na jiji. Ile ilikuwa ni message kwamba kwa sasa Samia hatakiwi tena. Njia pekee ambayo itamnyanyua Samia kutoka matopeni alikokwama ni kutupilia mbali mkataba huo wa kuuza bandari pamoja na kuwachukulia hatua mafisadi wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG. Tofauti na hapo hawezi kupata kibali tena 2025 hata angetumia majeshi. Ushauri huu ni chungu kama sumu ya nyigu lakini ukifuatwa ni mtamu kama asali.

Mdude Nyagali 7 x 70.View attachment 2661162
Hata Magufuli hakujua km angekuwa rais. Halafu Joyce ni Joyce siyo Samia. We omba uzima ushudie ushindi wa kishindo 2025. Halafu hakuna hoja ya maana unayozungumzia zaidi ya propaganda zako za chuki tu, tena ni wivu kwa kuwa mama anaupiga mwingi. Hao ni watu wawili tofauti kabisa, Samia is so visionary
 
Tatizo la nchi ya Tanzania toka ipate uhuru imekuwa ikiongozwa na maadui wale nyerere aliowataja. Nchi hii haijawahi kupata kiongozi bali vingozi wa nchi hii ndio maadui wa maendeleo wa taifa hili


Unakuja mtu amezaliwa kwamkunga, hajazaliwa hospitalini kijiji chao hakina hospitali wala huduma za afya, mtu huyo huyo anatokea kijiji kisicho na maji, wala bara bara, anapata bahati anafaulu katika masomo yake anakuja dar UDSM. Ndio mwanzo wake kuona lami nakuanza kutumia maji safi na salama na hivyo hivyo ndio mwanzo wake yeye kwenda dispensary akiwa dar anapoumwa. Mtu huyu mnakuja mmpa uwaziri? Seriously

Tangu lini mtu kama huyu mnampa mdaraka makubwa wakati ametoka katika maisha duni, Huyu mtu chakwanza yeye nikujilimbikizia mali uwizi uporaji wa mali za umma ndio anachokijua, kwasababu bado anatembelea ile bloodline na uduni wa maisha yake milele

Viongozi wengi katika taifa hili, wana uwezo mdogo wakufikiri, alafu ndio hao hao unaokuta wamepewa madaraka makubwa serikalini! Jambo la hatari sana, ni sawasawa na mtoto wa miaka 10 kumpa kifaru chakivita chenye milipuko acheezee, yani akifanya mistake moja maelfu wamekufa.

Pascal Mayalla
 
Amesukumiziwa tu uongozi. Tumuombee, ni kazi ngumu.
mamako alisukumiziwa lipumbavu likazaliwa ndio wewe. Rais wtu ana akili kubwa kuliko wanaume wengi hapa duniani ikiwa pamoja na huyo mshamba wenu mfu. Mmejawa wivu mlitegemea angeshindwa hameni nchi mtakufa na machuki yenu
 
Tatizo la nchi ya Tanzania toka ipate uhuru imekuwa ikiongozwa na maadui wale nyerere aliowataja. Nchi hii haijawahi kupata kiongozi bali vingozi wa nchi hii ndio maadui wa maendeleo wa taifa hili


Unakuja mtu amezaliwa kwamkunga, hajazaliwa hospitalini kijiji chao hakina hospitali wala huduma za afya, mtu huyo huyo anatokea kijiji kisicho na maji, wala bara bara, anapata bahati anafaulu katika masomo yake anakuja dar UDSM. Ndio mwanzo wake kuona lami nakuanza kutumia maji safi na salama na hivyo hivyo ndio mwanzo wake yeye kwenda dispensary akiwa dar anapoumwa. Mtu huyu mnakuja mmpa uwaziri? Seriously

Tangu lini mtu kama huyu mnampa mdaraka makubwa wakati ametoka katika maisha duni, Huyu mtu chakwanza yeye nikujilimbikizia mali uwizi uporaji wa mali za umma ndio anachokijua, kwasababu bado anatembelea ile bloodline na uduni wa maisha yake milele

Viongozi wengi katika taifa hili, wana uwezo mdogo wakufikiri, alafu ndio hao hao unaokuta wamepewa madaraka makubwa serikalini! Jambo la hatari sana, ni sawasawa na mtoto wa miaka 10 kumpa kifaru chakivita chenye milipuko acheezee, yani akifanya mistake moja maelfu wamekufa.

Pascal Mayalla
Kilichobaki ni we kuhama hii nchi maana we ndiyo mwenye matatizo
 
Naogopa sana watanganyika mnaenda kuipoteza nchi yenu

Mnajua kitu kimoja waarabu ni watu wa fujo na kusababisha machafuko kwenye nchi za watu

Wataharibu nchi yenu walete wapiganaji ili wamiliki ardhi yenu watangaze kuwa jamuhuri ya kiarabu
jamhuri ya kiarabu au ya kiislam?
 
Back
Top Bottom