ricostersundi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 358
- 440
Tanzania ina bunge au kikundi cha wahujumu uchumi wa taifa?Hayo ni mawazo yenu Wana chadema
Mama ana wafuasi kibao na tumeridhika na mambo anayoyafanya
kwanza hatuna uchovu wa kisiasa kwani Mwendazake ameshaondoka na tumegundua tulipigwa sana akiwemo Gwajima na Makonda
Pia Mama ni mvumilivu sana kuna ka kitu kanaitwa mfumo dume kanamtaka aondoke
Ungesikiliza Bunge leo ndio ungejua Mama anahitajika kwa miaka mingine 9
hata Clouds 360 huko Mbeya wananchi wanamkubali sana
Mahali wanapomkataa kwa asilimia chache ni JF na Chadema,
lkn TLP, ACT wote wameridhika