Kama kuna mtu ana namba ya simu ya mkuu wetu huko aliko ampigie simu arudi maana hali inayoendelea bungeni yamtaka mzee awepo. Mawaziri wake baadhi wameambia ni wezi sasa kama ni kweli kuna sababu ya wao kuendelea kuwa wabunge na uwaziri? Je Filikunjombe anamaanisha rais aliteua wezi wamsaidie nini?