SWEET GIRL
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 520
- 377
hamna jipya huko bungeni tumezoea kuona hayo maigizo.lawama kila siku!wanatoa hao hao!wanaolalamikiwa hao hao!wengine wana shutuma mpaka mahakamani.lakini hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa.viini macho tu