KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
EeenHeee, mada hizi!
Wengine tuna'admire' guts alizo nazo mama.
Naona mwana mama ni kama alikuwa amejiandaa kwenye nafasi hii.
Atawachokonoa wenye roho hadi zitapasuka, na hakuna mtakachoweza kufanya!
Mkiropoka, VUNJA!! Hapo mama na kundi lake watakuwa wametimiza lengo.
Sasa 'mta DO?
Wengine tuna'admire' guts alizo nazo mama.
Naona mwana mama ni kama alikuwa amejiandaa kwenye nafasi hii.
Atawachokonoa wenye roho hadi zitapasuka, na hakuna mtakachoweza kufanya!
Mkiropoka, VUNJA!! Hapo mama na kundi lake watakuwa wametimiza lengo.
Sasa 'mta DO?