Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,808
- 6,500
​Rais Benjamin Mkapa kuanzisha shule za secondary za kata huku kukiwa hakuna mipango madhubuti katika sekta za Ajira, mitaji na uwekezaji ili kukabiliana na wimbi la wanafunzi watakaohitimu kulikuwa ni chanzo cha maangamizo na kuichimbia kaburi CCM.
Uongozi wa awamu ya nne chini ya Rais Jakaya Kikwete kwa kuruhusu utandawazi zaidi wakati serikali yake bado inaendesha shughuli zake katika hali ya kimazoea (inactive) kulikuwa ni chachu katika kuhalakisha kifo cha CCM na kwa kufanya hivyo, anajiandaa kuizika.
Vijana hawa hawa ambao wengi wao wamepitia shule za secondary za kata ndiyo wataiangamiza CCM na inavyoonekana kwa sasa imekuwa ni mtindo mpya (new fashion) kwa kijana kuikataa CCM na kujiunga na "wanaharakati" kama CCM kinavyowaita bila kujali kimewafanyia nini na what's after CCM.
CCM kwa sasa wanawaita hawa vijana "wanaharakati" lakini CCM ikumbuke kuwa ni wanaharakati waliowaondoa wakoloni nchini na katika dunia hii, mabadiliko ya kiuchumi, kisiasa au kijamii huchochewa na kuletwa na wanaharakati.
It's a "wind of change bomb" waiting to explode and CCM watch out.
Uongozi wa awamu ya nne chini ya Rais Jakaya Kikwete kwa kuruhusu utandawazi zaidi wakati serikali yake bado inaendesha shughuli zake katika hali ya kimazoea (inactive) kulikuwa ni chachu katika kuhalakisha kifo cha CCM na kwa kufanya hivyo, anajiandaa kuizika.
Vijana hawa hawa ambao wengi wao wamepitia shule za secondary za kata ndiyo wataiangamiza CCM na inavyoonekana kwa sasa imekuwa ni mtindo mpya (new fashion) kwa kijana kuikataa CCM na kujiunga na "wanaharakati" kama CCM kinavyowaita bila kujali kimewafanyia nini na what's after CCM.
CCM kwa sasa wanawaita hawa vijana "wanaharakati" lakini CCM ikumbuke kuwa ni wanaharakati waliowaondoa wakoloni nchini na katika dunia hii, mabadiliko ya kiuchumi, kisiasa au kijamii huchochewa na kuletwa na wanaharakati.
It's a "wind of change bomb" waiting to explode and CCM watch out.