Weeeeee acha kabisa hiyo kitu. Lazima turudi ujimani. Hakuna kunywa pombe mchanga!?Habari wana JF,
Leo ni siku ambayo nimejikuta nashindwa kumuelewa Rais pale alipoongelea sakata la wanafunzi wa UDOM wa stashahada maalum ya ualimu.
Mh. Rais wakati hawa vijana wanaondolewa chuoni tuliambiwa ni kwasababu ya walimu kugoma kuwafundisha kwa takribani wiki tatu kutokana na mkanganyiko juu ya malipo yao.
Leo umekuja na kauli mpya masikioni kwetu isiyokuwa na ukweli wowote. Hivi mh. Rais kwanini mna kauli mbili tofauti? Mh. Rais una uhakika kuwa hao wanafunzi wengi wao wamefeli? Mh. Rais hivi kufaulu ni division 1&2 pekee? Mh. Rais mbona hawa vijana matokeo yao yalipangwa kwa GPA lakini wewe umeongelea division?
Mh. Rais unaanza kunipa wasiwasi na serikali yako hii kuwa haiwezi kutufikisha popote kwa kuanza kuwa na ndimi mbili na kuongea vitu usivyokuwa na uhakika navyo. Wale vijana kuhusu ufaulu wao ni mzuri wala hauna mashaka kwa kuwa wengi wamefaulu masomo ya sayansi na matokeo yao yamepangwa kwa GPA. Sina uhakika kama utakuwa umepitia matokeo yao vizuri.
Mh. Rais vijana wa kidato cha sita wamemaliza mitihani yao muda mrefu lakini mpaka sasa hawajui watasoma program zipi katika vyuo mbalimbali kutokana na kutokuwepo TCU guidebook mpaka sasa hivi. Na hii yote inasemekana wahusika wameshindwa kutoa kitabu hicho kutokana na sintofahamu iliyopo juu ya minimum requirement iwe D au C.
Mh. Rais tafadhali usiturudishe kwenye udahili wa miaka ile ya chuo kikuu kimoja ukadhani kufaulu ni division 1&2 peke yake. Ilikuwa hivyo kwa sababu kulikuwa hakuna vyuo vya kutosha. Naimani watu wako wanaopitia mitandaoni watakupa maoni yangu.
Kama sina hoja ungepangua nilichoandika.Huna hoja...nchi siyo ya vilaza tena hii
Iliyo wa-enroll ni serikali ya CCM sawa,lakini ni ya Kikwete sio ya Magufuli.Jamani lazima tufike mahali tuseme ushenzi huu basi.Serikali haiwezi kufumbia macho tatizo ambalo imeshaliona,lazima ili confront head on.Taifa haliwezi kuwapa Diploma watu wasiostahili.Mfumo ni Kufaulu Form four na Div.I or II uende Form V than VI halafu chuo Kikuu or Certificate,Dip.than Chuo Kikuu not otherwise.Hatuwezi kukubali nchi iwe ya vilaza.
Wa yudom hawajapewa pesa ya mkopo na hawajagoma, nawapongeza. Wangegoma tunawafukuza na wanakaa huko nyumbani miaka mitano yaani wakati wa uchaguzi ndio tunawakumbuka kwa ajili ya kura. Na hapo wengine washakuwa wazee.Nimemsikiliza vizuri Mh Rais kweli anania ya dhati ya kuikomboa elimu yetu ambayo kwa kiasi kikubwa ilikuwa inakwenda kombo; shida yangu ni pale mkuu wangu huyu anakauli ambazo mimi binafsi sizifurahii yeye kama kiongozi mkubwa kuzitamka kumuita mtuu "kilaza" ambayo ni lugha ya kebehi nadhani hii haijakaa vizuri, hao unaowaita vilaza hawajajipeleka wenyewe wamepelekwa na serikali alafu tena hao unaowaita vilaza ndiyo unaowategemea wakupigie kura .Naamini hii lugha inamisamiati ya kutosha unayoweza kuitumia ili kumsaidia mtu ambaye yupo nje ya system
Nani alimlazimisha kudeal na "waliofeli" Form four? Yeye si ndio kajiingiza mwenyewe?yaani nyie uwezo wenu mdogo rais aachr shughlikia mambo ya maana adili na walofeli form 4?
Well saidpeople are not happy after all.
Mkubali maoni yetu kubadili sifa ya diwani na mbunge. Kwanini tusianzie hapo msipopapenda ccm?Wasomi wengi wa Tanzania ni vilaza wamezoea kubebwa.