Alikuwa anaongea na Watz wenye akili timamu kama akili zako siyo timamu haikuhusu.Hivyo vifaa vipo hadi sasa au havipo? Kama vipo vinafanya nini? Na kama yeye ameshayajua hayo na bado ameviacha anatwambia sisi tufanye nini?
Sent using Jamii Forums mobile app