- Thread starter
- #101
Amen! Ubarikiwe sanaUliepost, kwa upande wangu naona huja2mia akili na unakurupushwa na vihisia vyako vya ajabu. Acha acha acha ujinga wako narudia tena acha acha ujinga wako. Ikusanye familia yako ndio mpate hiyo taharuki yako. mwisho nayakemea mawazo haya yasiwapate wazalendo katika taarifa hii. Ushndwe ushindwe na useme amen
Sent using Jamii Forums mobile app