Uzalendo upi?wakuu wa mashirika wanatunzwa kama rais?unajua marupurupu ya rais kwa mwezi ni tsh ngapi?changa la macho,hata wabunge ukiwauliza mshahara watakwambia 2ml. Na salary slip utaoneshwaHamuachi fitina!! Raisi kulipwa 9M huoni ni uzalendo? wakati wakuu wa taasisi wanalipwa 36M.
Sawa Mshahara wake ni Huo ila kwa ushauri wangu suala la kusema mshahara wake na kutangazwa katika Kituo Cha Clouds ni kuipa chati kituo hicho kwanini asingepeleka taarifa hiyo TBCRais Dkt. John Pombe Magufuli ametaja mshahara wake kuwa ni Tsh mil 9.5, huku akiahidi atatoa Salary slip zake punde akitoka mapumzikoni Chato.
Hiyo imetokea wakati wa kipindi cha magazeti leo tarehe 01/04/2016 ambapo watangazaji walisoma habari iliyoandikwa na gazeti la nipashe kuwa Zitto na Lissu waomba ataje Mshahara wake na ukatwe kodi.
Wakiwa katika mjadala huo, walipokea taarifa kuwa Rais kawasikia na katuma taarifa ofisi za Clouds kujuza mshahara wake kuwa ni mil 9.5 na atatoa stakabadhi zake akirudi Dar.
Huo ndio mshahara alioukuta na hata Rais Kikwete alikuwa akilipwa kiasi hicho pia.
Chanzo: Clouds 360 Asubuhi hii.
Haimaye Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametangaza mshahara wake kupitia kituo cha clouds tv katika kipindi cha 360...........kwamba anapata kiasi chha shilingi za kitanzania 9500000 kwa mwezi.
duhh,aisee kumbe anapokea pesa ndogo kweli,wakati kuna jaama yangu Airporta nakula zaidi ya 10m kwa mwezi.9.5 million source: cloudsfm
Ya kweli haya?! yule jamaa yetu wa msoga yeye alikuwa anakunja 192m us dollar kwa mwaka sawa 36 m tsh kwa mwezi!. basi magufuli ni mzalendo
hata kama kweli rais ni taasisi kubwa unatoa taarifa kwenye private media??