Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

mkuu hawa ndio aina vijana wa mbowe alionao
akipewa hiyo kaki nane watakuja tena kulalamiki eti hawezikan aishi kwa hela ndogo hivyo lazima atakuwa mla rushwa tu ..

In fact hao vijana uliowataja ni janga la kitaifa, yaani ni wabaya kuliko wazungu na mafisadi
 
Wajinga wa lumumba eti hiyo ni uzalendo si apokee tu kama ya mwalimu laki 5 tujue ni mzalendo? Si anakula bure malazi bure!!! Na miposho kibao? Mlaji ni mlaji sio lazima ataje mshahara wake wajinga ndo waliwao
 
Kuongoza wtz ni rahisi kweli kila tukidanganywa tunakubali eti 9.5m uongo wa wazi kabisa
 
kwa hiyo marais kama akina obama pamaoja na kulipiwa kila kitu bure unataka kusema hawalipwi hata kidogo
you are kidding brother super kidding

Lakini sio kwa million 9.5 kwa nchi duni kama Tz, angalau laki 4 ingetosha kabisa kutokana na uchumi wa Tz madam kila huduma anapata bure na Obama atalipwa kutokana na uchumi wa marekani.
 
anakula bure, analindwa bure, nashauri apunguziwe na kulipwa laki nne kwa mwezi, vinginevyo naye mnafiki tu

Mnafiki ni wewe!Laki 4 kwani yeye anafagia ofisi?Huo mshahara hata mfagia ofisi analipwa zaidi. Acha kutapika maneno bila kufikiria.
 
Hivi clouds fm na serikali kuna nini?? Kwanini hajatumia vyombo vya habari vya taifa.
Fursa tumia fursa mkuu....Magufuli haishi Kwa mazoea.

Usishangae kesho kutwa akifanya ziara Kwa bajaji.
 
Moderato
anakula bure, analindwa bure, nashauri apunguziwe na kulipwa laki nne kwa mwezi, vinginevyo naye mnafiki tu
Moderator,
Tafadhali wasaidie wachangiaji kuwa na staha. Maneno ya mchangiaji huyu yamekosa staha.
 
Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametaja mshahara wake kuwa ni Tsh mil 9.5, huku akiahidi atatoa Salary slip zake punde akitoka mapumzikoni Chato.

Hiyo imetokea wakati wa kipindi cha magazeti leo tarehe 01/04/2016 ambapo watangazaji walisoma habari iliyoandikwa na gazeti la nipashe kuwa Zitto na Lissu waomba ataje Mshahara wake na ukatwe kodi.

Wakiwa katika mjadala huo, walipokea taarifa kuwa Rais kawasikia na katuma taarifa ofisi za Clouds kujuza mshahara wake kuwa ni mil 9.5 na atatoa stakabadhi zake akirudi Dar.

Huo ndio mshahara alioukuta na hata Rais Kikwete alikuwa akilipwa kiasi hicho pia.

Chanzo: Clouds 360 Asubuhi hii.
Rais anaangalia clouds TV badala ya TBC...

Hii kali sana
 
Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametaja mshahara wake kuwa ni Tsh mil 9.5, huku akiahidi atatoa Salary slip zake punde akitoka mapumzikoni Chato.

Hiyo imetokea wakati wa kipindi cha magazeti leo tarehe 01/04/2016 ambapo watangazaji walisoma habari iliyoandikwa na gazeti la nipashe kuwa Zitto na Lissu waomba ataje Mshahara wake na ukatwe kodi.

Wakiwa katika mjadala huo, walipokea taarifa kuwa Rais kawasikia na katuma taarifa ofisi za Clouds kujuza mshahara wake kuwa ni mil 9.5 na atatoa stakabadhi zake akirudi Dar.

Huo ndio mshahara alioukuta na hata Rais Kikwete alikuwa akilipwa kiasi hicho pia.

Chanzo: Clouds 360 Asubuhi hii.
 
Mlipoambiwa Msome mlikimbia na kuzugazuga.
Wazee wake waliuza mazao ili yeye asome na sio nyie wa kushinda mtandaoni mkisubiria maisha ya kwenye picha.

Wapo Watu kibaoo wanapokea mshahara mkubwa kuliko hata yeye,kwanza vipesa vyenyewe hivyo?aisee kumbe Uraisi kweli wito.
Wenzenu wanapojitoa kwenye siasa nyie mmelala,wakipata midomo juu,we unategema unasoma ili iweje.
Kizazi cha kununua mitihani na kukopy Researches usilinganishe na watu waliosotea elim miaka hiyo,na kukubali kutumwa saaana ili baadae Elim iwalipe.
Maana hata nyie wengine Mungu atawauliza mmenfanyia nini,ambao wengi ni Mademm na Ulevi tu,Siku ya Ibada Bibble kuuubwa,akitoka hapo kama kawaida.

Humu kuna watu hata wake zao hawaijui Mishahara yao
 
ni vizuri na sisi walimu tukaangaliwa mshahara wetu ni mdogo mno haututoshi pia hatuna hata posho ukilinganisha na sekta zingine mwalimu ili anunue kiwanja sharti akope pia hata madaraja hatupandi kwa wakati yaani nishida tupu hatuna amani moyoni
 
Quality of Good leader..

1. Transparency and accountability
2. Non selfish...
3. Non corrupt...

Thanx Much for Having u JPM coz u have all these attributes......
 
Ya kweli haya?! yule jamaa yetu wa msoga yeye alikuwa anakunja 192m us dollar kwa mwaka sawa 36 m tsh kwa mwezi!. basi magufuli ni mzalendo

kwani wewe ilikuwa ni lazima uchangie? ..inaonekana mambo ya fedha hauyajui
 
Back
Top Bottom