Wee mwache atimuetimue watumishi wa umma kisa walimuunga mkono legwanan. Nani hakumuunga mkono mmasai katika cccm? Ni percent ndogo sana. Mwishon atajikuta anajitimua hata na yeye mwenyewe.Hapa Tanzania kama ukifuatilia mitandao ya kijamii unaweza kuvurugana na cabinet yako yote..!
Yetu macho, Muda utajibu.