Rais Magufuli, Mafuru apelekwe mahakamani sio kupangiwa kazi nyingine

Acha kuongea ujinga. Jamaa yupo vzr sn UPSTAIRS. Ni bahati mbaya sn kajuchanganya ccm inatakiwa mtu km yule aishi na mawazo huru sio kumtumikia mkurupukaji. Ni hazina kubwa kwa taifa akikaa nje ya mfumo mchafu wa ccm
Kajichanganya CCM kivipi? Manake ninavyofahamu huyu jamaa kafanya kazi sekta binafsi kw muda mrefu tu... na kama ulivyosema; yupo vizuri sana! Baada ya NBC kuchukuliwa na ABSA kama sikosei, ndipo figisu figisu zikaanza! Huku na kule, jamaa yakamkuta yaliyomkuta.! JK akaona potential ya jamaa kama alivyoziona potential za wengine! Na hapa niseme jambo... back then nilikutana na government insider mmoja... anyway, alikuja kwa eneo langu nikiwa simfahamu! Baada ya kuwa impressed na huduma za pale, ndipo alipoanza kujikunjua na kunieleza kwa kirefu serikali ilivyoamua ku-import corporate culture from private to public sector kwa kuajiri brilliant executives kutoka sekta binafsi! Hapa ndipo walipochukuliwa watu kama akina Mafuru, Omari Issa na wengine kadhaa.
 
Dr Magu our presedent umeidaka hiyo?? hivi ile mahakama haijaanza kazi bado?
Takukuru vipi hawajaota meno?
 
Salaam.....

Kwanza Mh. Rais Nikupongeze tu kwa kazi kubwa unayoifanya kuendesha nchi kwa kutumia nguvu, akili na uwezo wako binafisi kuongoza watu m 50 sio kazi ndogo.

Pia nikukumbushe kuwa kuna jambo nilikuwa sijakwambia

Ulimuondoa Dr Dau NSSF ukampangia kazi nyingine nikanyamaza.

Ukamuondoa Katibu Mkuu kiongozi ukampangia kazi nyingine nikanyamaza.

Sasa umemuondoa Mafuru na kuahidi kumpangia kazi nyingine hapa sitanyamaza hata kidogo.

Mafuru anatakiwa apitie mahakamani kwanza kabla ya kazi nyingine.

Huyu si ndio alipiga pesa pale NBC kwa kuwakopesha watu wa magari ya mizigo ndio mazao ya GSM na matokeo kushindwa kurejesha pesa na mmoja wa wanufaika si ni mtoto wa mfalme aliyepita mashahidi wapo wa kukusaidi pale Bacrays Bank.

Kesi ikazimwa akapelekwa kwenye BRN (Big Result Now) matokeo makubwa sasa kilichotokea huko watanzania wanajua na dunia inajua pesa iliyokuwa ikipigwa hata ukiangalia kwenye Vitabu vya auditing vya CAG wakati huo ni madudu na huyo ndiye alikuwa mratibu wa ushenzi wote huo wafanyakazi wa BRN wakajitajirisha kwa ufisadi.

Akatoka hapo akaenda FNBE bank huko utakatishaji wa pesa ndiko ulifanyika kwa kiwango cha kutisha.

Akaja HAZINA hapo sasa ndipo amefanya madudu ya kila aina ikiwemo kusajiri hisa 51% zilizouzwa kinyemela za UDA kutoka jiji kwenda tena kwa mmoja wa mwana wa mfalme aliyepita .

Alifanikiwa kusajiri pia hisa za kampuni ya Rugemalira ambayo ni kampuni iliyofanikisha ukwapuaji wa pesa bilioni 76 ($39 Milioni) Escrow account kwenye zile bilioni 320 zilizochotwa kwa magunia pale Mkombozi na Stanibic bank.

Huyu sasa hivi ni Member wa Bodi ya CRDB na ndio walikuwa wanafanya Lobbying kufungua fixed deposit account ili kuendelaea kufanya ujanja ujanja wa kuzichezea bank zingine faulo ndio maana ulimuona akitoka hatharani kukukana kuwa si dhambi kufungua FD huku akijua bank itakayopata wateja wengi Serikali ni CRDB ambayo yeye ni mwenyekiti wa bodi hiyo.

Mtu kama huyu unampangia kazi nyingine?

Mtu anayeonekana kushirikiana na majizi kukwapua na majambazi wa nchi hii kuiba mali za umma bado anapangiwa Kazi nyingine baada ya kumuburuza mahakamani?

Hawa watu ni wa kuweka kuzuizini na kuchunguza mali zao sio kuwapangia kazi nyingine.

Kazi yangu ni kukwambia ukweli weka watu hawa chini ya TAKUKURU wachunguzwe mafisadi waondoe kwenye mfumo lasivyo watakukwamisha utaona 2020 hiyo uku ukiendelea na panga pangua.
Kazi ipo wacha nikavue sangara tu
 
kweli hata uda ni professionalism rugemalira nayo ni professionalism. mtu aliyefilisi taasis nyeti kama NBC, akafukuzwa kazi , stanbic, utakatishaji wa fedha nao ni professionalism that is kifdding
Mmeona Leo?? Yaani hayo yanaonekana Mara tu baada ya kumkosoa Mungu wa Tanzania? Mungu huyu hataki kuguswa wala kusemwa! Maskini Tanzaniania
 
Salaam.....

Kwanza Mh. Rais Nikupongeze tu kwa kazi kubwa unayoifanya kuendesha nchi kwa kutumia nguvu, akili na uwezo wako binafisi kuongoza watu m 50 sio kazi ndogo.

Pia nikukumbushe kuwa kuna jambo nilikuwa sijakwambia

Ulimuondoa Dr Dau NSSF ukampangia kazi nyingine nikanyamaza.

Ukamuondoa Katibu Mkuu kiongozi ukampangia kazi nyingine nikanyamaza.

Sasa umemuondoa Mafuru na kuahidi kumpangia kazi nyingine hapa sitanyamaza hata kidogo.

Mafuru anatakiwa apitie mahakamani kwanza kabla ya kazi nyingine.

Huyu si ndio alipiga pesa pale NBC kwa kuwakopesha watu wa magari ya mizigo ndio mazao ya GSM na matokeo kushindwa kurejesha pesa na mmoja wa wanufaika si ni mtoto wa mfalme aliyepita mashahidi wapo wa kukusaidi pale Bacrays Bank.

Kesi ikazimwa akapelekwa kwenye BRN (Big Result Now) matokeo makubwa sasa kilichotokea huko watanzania wanajua na dunia inajua pesa iliyokuwa ikipigwa hata ukiangalia kwenye Vitabu vya auditing vya CAG wakati huo ni madudu na huyo ndiye alikuwa mratibu wa ushenzi wote huo wafanyakazi wa BRN wakajitajirisha kwa ufisadi.

Akatoka hapo akaenda FNBE bank huko utakatishaji wa pesa ndiko ulifanyika kwa kiwango cha kutisha.

Akaja HAZINA hapo sasa ndipo amefanya madudu ya kila aina ikiwemo kusajiri hisa 51% zilizouzwa kinyemela za UDA kutoka jiji kwenda tena kwa mmoja wa mwana wa mfalme aliyepita .

Alifanikiwa kusajiri pia hisa za kampuni ya Rugemalira ambayo ni kampuni iliyofanikisha ukwapuaji wa pesa bilioni 76 ($39 Milioni) Escrow account kwenye zile bilioni 320 zilizochotwa kwa magunia pale Mkombozi na Stanibic bank.

Huyu sasa hivi ni Member wa Bodi ya CRDB na ndio walikuwa wanafanya Lobbying kufungua fixed deposit account ili kuendelaea kufanya ujanja ujanja wa kuzichezea bank zingine faulo ndio maana ulimuona akitoka hatharani kukukana kuwa si dhambi kufungua FD huku akijua bank itakayopata wateja wengi Serikali ni CRDB ambayo yeye ni mwenyekiti wa bodi hiyo.

Mtu kama huyu unampangia kazi nyingine?

Mtu anayeonekana kushirikiana na majizi kukwapua na majambazi wa nchi hii kuiba mali za umma bado anapangiwa Kazi nyingine baada ya kumuburuza mahakamani?

Hawa watu ni wa kuweka kuzuizini na kuchunguza mali zao sio kuwapangia kazi nyingine.

Kazi yangu ni kukwambia ukweli weka watu hawa chini ya TAKUKURU wachunguzwe mafisadi waondoe kwenye mfumo lasivyo watakukwamisha utaona 2020 hiyo uku ukiendelea na panga pangua.
Umemwagika kwa hisia za kizalendo kabisa, lakini kwa bahati mbaya sana hakuna mtu atajali
 
Ccm na mafisadi ni chanda na Pete. Umesahau yule wa Tanapa, ametia hasara ya 113m akahukumiwa kulipa laki 7
 
Mfumo mbovu wa serikali ya ccm ndio umezalisha haya madudu!ampeleke mahakamani ajipendi?
 
Acha kuongea ujinga. Jamaa yupo vzr sn UPSTAIRS. Ni bahati mbaya sn kajuchanganya ccm inatakiwa mtu km yule aishi na mawazo huru sio kumtumikia mkurupukaji. Ni hazina kubwa kwa taifa akikaa nje ya mfumo mchafu wa ccm
ameiua NBC ndio yuko vizuri upstairs
 
Ila we mtoa mada hua ni Bonge la Snitch halafu Mnafiki kishenzi, Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa CRDB ni ndugu Ally Laay na kabla ya hapo alikua ni ndugu Martin Mmari.Huyo Mafuru alikua Mwenyekiti CRDB lini.Halafu bank ya FNBE ni bank gani hapa Tanzania?
 
Salaam.....

Kwanza Mh. Rais Nikupongeze tu kwa kazi kubwa unayoifanya kuendesha nchi kwa kutumia nguvu, akili na uwezo wako binafisi kuongoza watu m 50 sio kazi ndogo.

Pia nikukumbushe kuwa kuna jambo nilikuwa sijakwambia

Ulimuondoa Dr Dau NSSF ukampangia kazi nyingine nikanyamaza.

Ukamuondoa Katibu Mkuu kiongozi ukampangia kazi nyingine nikanyamaza.

Sasa umemuondoa Mafuru na kuahidi kumpangia kazi nyingine hapa sitanyamaza hata kidogo.

Mafuru anatakiwa apitie mahakamani kwanza kabla ya kazi nyingine.

Huyu si ndio alipiga pesa pale NBC kwa kuwakopesha watu wa magari ya mizigo ndio mazao ya GSM na matokeo kushindwa kurejesha pesa na mmoja wa wanufaika si ni mtoto wa mfalme aliyepita mashahidi wapo wa kukusaidi pale Bacrays Bank.

Kesi ikazimwa akapelekwa kwenye BRN (Big Result Now) matokeo makubwa sasa kilichotokea huko watanzania wanajua na dunia inajua pesa iliyokuwa ikipigwa hata ukiangalia kwenye Vitabu vya auditing vya CAG wakati huo ni madudu na huyo ndiye alikuwa mratibu wa ushenzi wote huo wafanyakazi wa BRN wakajitajirisha kwa ufisadi.

Akatoka hapo akaenda FBME bank huko utakatishaji wa pesa ndiko ulifanyika kwa kiwango cha kutisha.

Akaja HAZINA hapo sasa ndipo amefanya madudu ya kila aina ikiwemo kusajiri hisa 51% zilizouzwa kinyemela za UDA kutoka jiji kwenda tena kwa mmoja wa mwana wa mfalme aliyepita .

Alifanikiwa kusajiri pia hisa za kampuni ya Rugemalira ambayo ni kampuni iliyofanikisha ukwapuaji wa pesa bilioni 76 ($39 Milioni) Escrow account kwenye zile bilioni 320 zilizochotwa kwa magunia pale Mkombozi na Stanibic bank.

Huyu sasa hivi ni Member wa Bodi ya CRDB na ndio walikuwa wanafanya Lobbying kufungua fixed deposit account ili kuendelaea kufanya ujanja ujanja wa kuzichezea bank zingine faulo ndio maana ulimuona akitoka hatharani kukukana kuwa si dhambi kufungua FD huku akijua bank itakayopata wateja wengi Serikali ni CRDB ambayo yeye ni mwenyekiti wa bodi hiyo.

Mtu kama huyu unampangia kazi nyingine?

Mtu anayeonekana kushirikiana na majizi kukwapua na majambazi wa nchi hii kuiba mali za umma bado anapangiwa Kazi nyingine baada ya kumuburuza mahakamani?

Hawa watu ni wa kuweka kuzuizini na kuchunguza mali zao sio kuwapangia kazi nyingine.

Kazi yangu ni kukwambia ukweli weka watu hawa chini ya TAKUKURU wachunguzwe mafisadi waondoe kwenye mfumo lasivyo watakukwamisha utaona 2020 hiyo uku ukiendelea na panga pangua.


Kama ni kweli Majizi yaliielemea Serikali ya Uncle wa Bwagamoyo
 
Endeleeni kumchochea, mwisho wa siku hakuna atakayeweza kufanya naye kazi, labda J wa chuo cha kata!

Hayo ya ufisadi kama yapo sawa apelekwe mahakama lakini sio unaongea uongo kugain popularity ukisahihishwa unafura kwa hasira as if kifaru ameshikwa masaburi!
professionalism iheshimiwe!
Aisee hili neno professionalism naona linaota mzizi humu JF, ngoja nikupe mfano wa kipuuzi kidogo, unajua Vierra aliuzwa na Wenger kwa ajili tu ya kwenda kwenye media na kuanza kumshambulia Wenger anunue wachezaji wenye hadhi, huwezi kutoka hadharani kumpinga boss wako halafu mnasema professionalism, chukulia mfano boss wako katoka hadharani kasema huwa tunalipa kodi halafu wewe sijui Chief Accountant na professionalism yako unaenda kwenye media unaanza ni kweli kodi huwa tunalipa lakini baadhi ya kodi za importation huwa hatulipi, nakwambia jioni yake ndo utajua hiyo professionalism inatumikaje!
 
Back
Top Bottom