Young Teacher
Senior Member
- Jul 29, 2012
- 186
- 43
Haya yote alikuwa hayaoni wala hayajui akiwa waziri kwa miaka 20? Real?
Kuna utofauti wa muda na cheo, ulikuwa waziri sio rais, ulikuwa muda uliopita ila msafara ni current, inamaana changamoto zitakuwa tofauti kwa kigezo cha muda na uwezo wa kuzishughuliki nao ni tofauti kwa kigezo cha mamlaka aliyokuwa nayo.