Sio kwa bunge hili la sasa ndugu. hakuna wa kunyanyua mdomo labda wapinzani watasema kdg lkn support ya wabunge wa ccm yaiwezi kuwepo kabisa. RIP Mh. S. Sitta.Lazima atambue ya kwamba Hela hizo zinazopatikana kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi wa vyuo ni kodi za wananchi,sasa yeye anataka kujiamulia tu Hvi kuna watu wanashindwa kumshauri rais......naona Hata Bunge linashindwa kuingilia kati Suala hilo!
Ova
Huna watoto au mwenzetu unasomeshea shule za kata!Mtaisoma namba bado
ni kweli, lakini cake ikiwa ndogo hula maharusi na wazazi na wapambe, cake ikiwa ndogo zaidi, na walaji hupungua mathalan hula maharusi na wazazi tu, cake inapokuwa kiduchu zaidi basi huliwa na bibi na bwana harusi, ..kwa hiyo mimi nadhani wanao andaa cake wanajuwa ukubwa wake kwahiyo ni namna tu ya kuwapunguza;Wote ni watanzania kigezo cha Mikopo ni ufaulu sio umesoma shule gani
1. Ulemavu sio kigezo
2. Kufiwa na wazazi na Uwe na cheti cha kifo sio kigezo
3. Kusoma private schools sio kigezo
N.k.
Wakisema wasio na bikra hawapati mkopo mbona walishasema serikali haisomeshi wanafunzi wazazi.ni kweli, lakini cake ikiwa ndogo hula maharusi na wazazi na wapambe, cake ikiwa ndogo zaidi, na walaji hupungua mathalan hula maharusi na wazazi tu, cake inapokuwa kiduchu zaidi basi huliwa na bibi na bwana harusi, ..kwa hiyo mimi nadhani wanao andaa cake wanajuwa ukubwa wake kwahiyo ni namna tu ya kuwapunguza;
NOTE; Endapo MKOPO huu utatolewa kwa wanafunz wa govn na ukawa hautoshi kwa hawa kitaangaliwa kigezo kingine cha kuwapunguza tena, wanaweza sema Wasio na bikira hawatapata MKOPO,...Voice!!! katika utawala Wangu asiye na bikira asipewe MKOPO kwa sababu serikali haisomeshi makahaba!!!!
Wote ni watanzania kigezo cha Mikopo ni ufaulu sio umesoma shule gani
1. Ulemavu sio kigezo
2. Kufiwa na wazazi na Uwe na cheti cha kifo sio kigezo
3. Kusoma private schools sio kigezo
N.k.
Wakisema wasio na bikira hawapati mkopo kwa Tanzania watasoma wavulana tuni kweli, lakini cake ikiwa ndogo hula maharusi na wazazi na wapambe, cake ikiwa ndogo zaidi, na walaji hupungua mathalan hula maharusi na wazazi tu, cake inapokuwa kiduchu zaidi basi huliwa na bibi na bwana harusi, ..kwa hiyo mimi nadhani wanao andaa cake wanajuwa ukubwa wake kwahiyo ni namna tu ya kuwapunguza;
NOTE; Endapo MKOPO huu utatolewa kwa wanafunz wa govn na ukawa hautoshi kwa hawa kitaangaliwa kigezo kingine cha kuwapunguza tena, wanaweza sema Wasio na bikira hawatapata MKOPO,...Voice!!! katika utawala Wangu asiye na bikira asipewe MKOPO kwa sababu serikali haisomeshi makahaba!!!!
acha utani Mkuu; kuna mmoja kamaliza chuo wakati anatafta kazi juzi nimempasua alikuwa nayo na kamaliza mwaka juziWakisema wasio na bikira hawapati mkopo kwa Tanzania watasoma wavulana tu