Baba Enoooo
Member
- Sep 17, 2017
- 13
- 4
Kuna Wanafunzi wanasoma shule za private kwa sponsorship Katika level za secondary, sasa ukimnyima loans utakuwa hujamtendea haki kabisa. Kwa mtazamo huo wa ankle Magu wengi wataisikia tu Elimu ya Juu. Bila kuifikia.
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app