mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 6,617
- 4,904
Kasema ukwel mikpa mingine imezid kila janga kwao
Pia Zika na Ebola kwa hapa Bongo ni kule. Miaka ya 70 wakati kaswende ilitikisa dunia, kwa hapa Bongo Kagera ndiyo ilikuwa inatamba kwa kututishia amani hapa nchini. Kwa kweli Kagera kuna hatari