Rais Magufuli ateunga uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Butiama

Habari wanaJF,

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo ametangaza kuwa Rais Dkt John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa halmashauri ya Butiama mkoani Mara Solomoni Ngiliule kuanzia leo kutokana na ubadhirifu wa fedha za umma.
Pole mkurugenzi, kwani pesa za wananchi ulizipeleka wapi?? Kwa awamu hiii usipozirudisha butimba itakuhusu.
 
Habari wanaJF,

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo ametangaza kuwa Rais Dkt John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa halmashauri ya Butiama mkoani Mara Solomoni Ngiliule kuanzia leo kutokana na ubadhirifu wa fedha za umma.
mashushushu yanafanya kazi hasa.Unafanya kazi na mtu usiyemfahamu ni nani ukifikiri ni mwenzako mnakula dili mara paaap unapoteza kazi
 
Hawa si ndo walifanyiwa vetting ya nguvu na wakaonekana wanafaa?

Unajua maana ya vetting?
Vetting inahusu past records zake sio future records

Anaweza records zake zikaonesha ni Muadilifu then baada ya kuchaguliwa akawa mbadhirifu

Ni Sawa unaweza kuoa Mwanamke bikra baada ya vetting kwa kuamini sio Malaya na kweli bikra ni vetting mujarrab lakin baada ya 'kufungua kopo' akawa kikopo cha sukari kila Mwenye kikombe cha chai anachovya 'kijiko' kufuata sukari
 
Km tutaendelea kuteuana sababu wewe ni shabiki wa chama cha kijani hatutopata maendeleo milele.
Kila siku itabaki kuteua na kutengua.
 
Safi sana, taratibu tu watanyooka
Unafurahia nini? Huoni huu ni mwendelezo tu wa serkali ya ccm kuonea kudhalilisha na kuwatesa wanyonge? Ufisadi mkubwa uko serkali umefanywa na wale mnaowaita wakubwa, je kuna hatua zipi zilifanyika, we hujafuraishwa na hatua hii, we ni sehemu ya uozo, unafurahi kinafki na lengo la lako ni kutaka kuonyesha eti mkuu wenu yuko makini azidi kuaminiwà ili mwendeleze uozo wenu
 
Magu jitengue mwenyewe, umebadhirifu mabilioni ( Madege, kuhonga wapinzani, kuhonga wakamata ndege, chaguzi uchwara ).

- Tumekuchokaaaaaa
Sema umemchoka, usitusemee, wengine tunataka adumu, mpaka mseme poo!
 
Habari wanaJF,

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo ametangaza kuwa Rais Dkt John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa halmashauri ya Butiama mkoani Mara Solomoni Ngiliule kuanzia leo kutokana na ubadhirifu wa fedha za umma.
Fedha za umma.. sawa
 
Habari wanaJF,

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo ametangaza kuwa Rais Dkt John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa halmashauri ya Butiama mkoani Mara Solomoni Ngiliule kuanzia leo kutokana na ubadhirifu wa fedha za umma.
ATEUNGA = ATENGUA mm napita tu naenda kumuona mzee wangu ngomba kidogo
 
Habari wanaJF,

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo ametangaza kuwa Rais Dkt John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa halmashauri ya Butiama mkoani Mara Solomoni Ngiliule kuanzia leo kutokana na ubadhirifu wa fedha za umma.
Mleta mada ninashindwa kukuelewa alietengua ni rais magufuri au waziri jafo

Maana bandiko lako halieleweki
 
Back
Top Bottom