mwarabuwadubeii
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 661
- 651
Hii swala uki angalia Kwa undani Una pata kuwa hakika jamaa kadhamilia,kapumzisha Kazi usingizi wa aliye kuwa waziri mkuu mstaafu!moja ya watu walio pigania sana ccm iludi madaraka I katika uchaguzi 2015 Ni mzee John Marecela!mama nenda kapumzike Na Mzee mwenzio pale sea view!