Ccreation
Senior Member
- Sep 27, 2015
- 145
- 55
Kwani nyinyi msipokunywa chai kwa mwaka mzima kwa ajili ya maendeleo ya nchi yenu kuna tatizo! Sasa watakunywa wakina mama Na watoto sawa!? Wanaume tutasubiri hiyo gap tuifidie!,nafikiri tumeelewana! Just a joke but Rais wa sasa amafuatilia kwa karibu mambo si kukurupuka , kama hamjui yaliokuwa yanafanyika kwenye biashara ya sukari mkae kimya ,! Fanyeni utafiti kabla hamjamkosoa mtu