Rais Magufuli apiga marufuku kufanya biashara kwa kutumia fedha za kigeni

Leakage za kishenzishenzi ni pamoja na airport kwenye kulipia visa uhamiaji wanataka tulipie kwa usd,kwanini wasi convert thamani ile ile ya gharama ya visa tukalipa kwa tsh ???
 
watanzania pia nao tunaulimbukeni flani hivi wa kupenda sifa za kijinga kujaza wallet na dola kumbe kwa kufanya hivyo hatujui kama tunaua thamani ya fedha yetu.
 
SAFI SANA MALISA G.J kwa ushauri wa kiuchumi wa dollar wa wiki jana,ambao leo unafanyiwa kazi.
 
Sijaona bado matumizi ya dola kiasi kikubwa ndani yaTanzania kiasi cha kuleta shida, karibia au biashara zote tanzania wanatumia Tsh.. Hoteli zoote tanzania ukienda mtanzania una cash wanapokea Tsh, malls tanzania wanapokea Tsh, tatizo lipo kwa makampuni makubwa ambayo yanafanya biashara worldwide huwa yanalipa supplier kwa USD maana finance department zao hazipo hapa na zinalipa kutokea huko zilipo, kutokuwepo hapa kwa international companies na huku zina operations hapa isichukuliwe kama dhambi maana in international business kuna kucentralize mambo na hapo inategemea maamuzi ya wakuruguzenzi kulingana na operations zilivyo...
Hutembei unashia mkoani tu Au tndale huwez ona hayo
 
Bahati mbaya [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] yuko hospital, angepinga hii kitu mpaka jasho la damu limtoke. Yeye huwa anapinga kila kitu, tena bila point za maana.
 
shida wafanyabiashara hawakulazimishi ulipe usd.. bali ukifika wanakutajia bei kwa usd. kisha wanachukua calculator zao wanazidisha kwa rate ya tsh. kisha wanakuonesha ulipe kwa bei hiyo hapo.. sasa hapo ni kama umewalipa usd tu
Mkuu elewa huyo mfanyabiashara akiweka bei kwa USD means bei ya hiyo bidhaa kwa hela ya madafu inakuwa inachange kila baada ya muda fulani Mara nyingi dhamani ya dollar huwa inapanda hii inamuumiza mlaji
 
Nchi yeyote inayoyumba kiuchumi hii ni njia ya mkakati wa kujinasua, Hii ikishindikana ni kutumia pesa ya Nchi nyingine huku mkiimalisha pesa yenu (underground). Nafikiri Pesa yetu imeshuka mno thamani na hii ni namna ya kiokoa. jana na juzi ilishuka shuka kwa namna.

Tuseme ukweli tu. msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Uchumi wetu umesinyaa na umekonda sana!!
Inaonekana hujui kitu katika monetary economics. Umeongea kinyume na lengo, hata hitimisho la narratives zako.
 
Ujajua kinachoongelewa Tanapa mzungu analipa kwa dollar inaingia direct kwenye account ya Serikali tofautsha na mtu kwenda kwenye duka la mhindi na kulipa Kwa dollars kinachozuiwa apa ni serikali kutokulipa kwa dollar ila si kutokupokea dollar....Tanapa wazawa wanalipa Tsh
Waanze na mashirika yao especially TANAPA badala ya kulipia kwa Dola iwe Shillings
 
Akiwa kwenye ziara katika Kiwanda cha sukari cha Kagera sugar, Rais Magufuli amepiga marufuku kufanya biashara kwa kutumia fedha za kigeni na kuiagiza benki kuu kuondoa utaratibu wa kufanya biashara kwa kutumia fedha za kigeni.



Hapo Raisi wangu umenifurahisha.
Natamani tukikutana nikupe elfu tano ya soda,
Hizo ada za shule na. vyuo zinalipwa kwa dola marufuku,
Nyumba za kupanga Siku hizi ni kwa us dola marufuku,
Ilikuwa imebakia machungwa yauzwe kwa Us dola.
 
Kitakachoteka, tutatukuwa tunalipa kwa dollar kwa mlango wa nyuma. Wanaocharge kwa dollar watakuwa wanatoa bei mpya as per exchange rate ya siku husika. Hakuna klcha maana kilichobadirika
 
Yaani Tizziii tunagelezea kwa vinnchi vidogo vidogo!!

Kweli ccm ni Kross briid ya ukimwi na ebola.
naoana ujuaji ukiwa sana hata kuongea point unakosa,vinchi vidogo vidogo ni vipi usha fika china ukaona unatamia pesa ya kigeni,au nchi kubwa,tutajie
 
Hoja ya Zitto leo imezingatiwa ila ni lazima kuwe na sheria na si matamko tu.

Nakumbuka nili-comment siku ile kwenye ule uzi kuwa ipo siku Mkulu atafanyia kazi wazo hili la Zitto na wapinzani kwa ujumla ila sifa zitaende kwa mkulu tu.
Yeye ni Rais wa watanzania wote.Akipata sifa ndiyo watanzania wamepata sifa.
 
Sijaona bado matumizi ya dola kiasi kikubwa ndani yaTanzania kiasi cha kuleta shida, karibia au biashara zote tanzania wanatumia Tsh.. Hoteli zoote tanzania ukienda mtanzania una cash wanapokea Tsh, malls tanzania wanapokea Tsh, tatizo lipo kwa makampuni makubwa ambayo yanafanya biashara worldwide huwa yanalipa supplier kwa USD maana finance department zao hazipo hapa na zinalipa kutokea huko zilipo, kutokuwepo hapa kwa international companies na huku zina operations hapa isichukuliwe kama dhambi maana in international business kuna kucentralize mambo na hapo inategemea maamuzi ya wakuruguzenzi kulingana na operations zilivyo...
Kwa hiyo nchi ifuate maamuzi ya hao wakurugenzi?
 
Back
Top Bottom