Wenzao wazungu wanajenga shule na hospita hawa waarabu wanaleta misikiti na uwanja.dah
Sio kipaombele chenu.!Angetujengea chuo kikuu kitakachokuwa kinatoa mafunzo ya elimu dunia na dini ya kiislamu nijgefurahi zaidi.
AiseeeMagufuli ni chaguo la Mungu.
Mkuu hyo ni moja unajua mangapi yamezingumzwa kwenye mkutano wao ,kwahy huyo mfalme kaja kwasabb ya uwanja tu,sidhani
Halafu kingine serikali inahakia Dodoma ,mji wa Dodoma hauna uwanja mzr wenye kukidhi vigezo ,acheni bwana capital city kuwe na uwanja wa kuvutia pia ni moja ya maendeleo itakayokuwa nayo Dom ,
Yana chama acha uwongo tena kwa awamu hiiMKuu mimi binafsi nilishajitambua, muhimu ni kuwa na positive attitudes towards our national development sasa watu kama huyo kazi yao ni kukosoa tu kila kitu, mbaya zaidi muulize solution ya malalamiko yake ni nini..utaona mbio mbio mpaka ufipa kuita kikosi kazi...maendeleo hayana chama bhana
Kwani lazima ukere watu? Kujenga shule na vyuo huku wasahishaji wakifelisha watoto wao ni sawa? Rejea factors za mtukufu waziri...Akili za waislamu ni kujenga misikiti tu badala ya shule na vyuo halafu baada ya hapo wanalalamikia mfumo Kristo.
Halafu Dola kuu ya Dunia au makao makuu ya ushetani wakamnyonya damu bila huruma.mwambieni mwenzake alijenga msikiti mkubwa kuliko yote kilichofuatia?
pia mwambieni mtukufu ni mungu pekee.