Rais Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi wa jiji la Dar, Wilson Kabwe. Makonda amtuhumu kuongeza mkataba wa maegesho bila mchakato

ka ka mutaparurana leo viroba amevileta nani kama sio serikali ya waliokosa maono ya ccm Magufuli he must learn how to exercise his power sio anaagizwa na juniours na yeye anakubali its very wrong
Ccm hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Baada ya Makonda kumchongea kwa Rais jamaa kamaliza kazi live

Lakini nadhani mantiki ingekuwa na yeye kabwe angesimama kama makonda kuongea kamsimamisha kazi bila hata kumsikiliza
Kosa la Makonda silioni hapo kama yote aliyosema ni kweli. Watu waliopewa dhamana walijisahau walidhani ni mali yao. Wanakwiba mchana kweupeeeeeee!!!!!!
 
Huyu mheshimiwa alitoa tuhuma nzito na kuziomba mamlaka teuzi zifanye kazi. Katika hali yoyote Mr Kabwe atachunguza. Kama hatapatikana na hatia (exonerated) ina maana atarudishwa kazini aidha hapo alipokuwepo au popote.

Kwa maana hiyo Makonda atapoteza credibility. Swali la kujiuliza, mh Makonda ana uhakika kiasi gani kwa alichoongea na kukiomba? Kama mheshimiwa atasafishwa,

Je itakuwa zamu yake kuondoka kwa kumdanganya Mh Rais.
Unaongea vitu gan.
Tunataka atuambie chenji zetu wana mwanza kapeleka wap.
Waliuza kiwanja cha clinic kwa b. 3
Na wakajenga clinic mpya kwa m600
Chenji iko wap
 
Hachomoki huyo mkurugenzi aliharibu mwanza sakata la ujenzi wa kliniki ya makongoro akahamishwa kwa ujanjaujanja leo kanasa
 
Pamoja na kuwa Makonda anaweza kuwa sahihi kwenye hili, ninaonelea ni vyema rais Magufuli akazuia kutumiwa kufanya maamuzi ya haraka namna hii huko mbele..kuna uwezekano mkubwa sana wa kuaibishwa huko mbele
 
Anawaonea wadogo, mbona ya Kitwanga na kumuandika kote hajamtumbua. Huyu amesikia ya makonda, to be fair angelisikiliza na ya PAC etc
Yani nyie Bawacha mmekuwa kama wake wenza nyie ni kulalamika tuu!
 
Mtoa mada nashauri ufuatilie issues kabla hujaleta uzi jamvini!
Makonda si mjinga kama baadhi ya wasiompenda wanavyodhani. Mwenzenu ana tabia ya kusikia tuhuma (ambazo huwa ni wazi anyway) anaunda tume ya wataalamu wa sekta husika na wanasheria.
Yale madudu ya ujenzi wa barabara Kinondoni ulisikia nani akipinga?
Tatizo la Haters mnatamani mtu awe na mabaya tuu hata kama kazi inafanyika kwa namna bora zaidi kuliko zote zinazowezekana. Poleni sana aisee!
 
1.Mkurugenzi Muhimbili
2.Kamishna wa uhamiaji
3.CEO DART
4.CEO RAHCO
5.Mkurugenzi wa Jiji
6.Katibu Mkuu kiongozi
7.Mkuu wa mkoa wa Shinyanga
Hawa wote kawasimamisha wengine tena vyanzo vya habari zao zimeanzia magazetini au mfano huu kutoka kwa Makonda,lakini sakata la Lugumi haligusi najiuliza sana why????????
Hebu weka ushahidi wa ufisadi wa Lugumi!
 
Kule Mwanza Mr Kabwe alikuwa anakula sana na cover yake kuuu ilikuwa ni CCM, alikuwa anagandamiza sana upinzani na ndipo wana CCM walipokuwa bega kwa bega kutetea maovu yake
 
Back
Top Bottom