Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,142
- 6,947
Hao watu siyo wakuonea huruma, nayeye hadi masimamishe kunavitu kaviona viko hovyo
Wapewe funzo maana haohao ndo wanamaduka ya dawa lakn eti hospital hazipo, ukiendekeza sana vitu vya kipuuzi kwa viongozi wananchi ndo tunaumia.
Kila unayeona anatetea maovu yanayofanyika kwenye idara za serekali,ujuwe yeye yuko kazini na tabia zake ndio hizo.Kama mumo kwenye maovu jirekebisheni,wananchi tunapata tabu,wakati mumekubali kufanyakazi,na unalipwa kwa ajili yetu,lakini hamtupi huduma nzuri.Asante Rais wetu,kura yangu haikupotea bure.Maamuzi ya kukurupuka. utumishi wa umma sio hvyo! Taratibu rais wangu. usijefanya kama enzi za samaki wa magufuli, leo hii ni maumivu kwa serikali!