Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,282
- 17,993
Amempa fursa ya kujieleza? Ikitokea kuwa serikali ndio haikupeleka fungu, atamrudisha kazini? Utawala bora hauko hivyo.
Mara nyingi vitu kama hivyo keshafanya homework yake.
Fikiria wao wanakupa ambulance ili ukafanye kipimo sehemu fulani. Kama si 10% ni kitu gani. Hizo X-Ray na CT Scan za Muhimbili ndiyo vinaharika peke yake wakati kwenye hospital binafsi wafanyakazi ndiyo hao hao wa Muhimbili.