Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
Mnaandika lakini?
Acha uongo wako hapa! leo nilikuwa singida,maadhimisho hayo yamefanyika viwanja vya peoples.Labda ungesema Magufuli ameshindwa kuhudhuria.Ila chakushangaza walijaza tu wanafunzi wa sekondari.
Huyu mtu anatakiwa atiwe governor na bunge au washauri wake (.. ila sidhan hata kama anashaurika). Hayo ni maadhimisho ya dunia/UN kwa ajili ya awareness, siyo SHEREHE.
Christmass ipo au nayo imefutwa ?
Kinachofutwa sio maadhimisho...Ni sherehe ambazo zinaambatana na matumizi makubwa sana ya fedha...Bajeti zake zinatisha...Watu wamekuwa wakizitumia sherehe hizi kuvuna mapesa kwenye zabuni za fulana...Kofia...Matangazo...Maandalizi n.k
Kipi bora...Kufanya sherehe za gharama kubwa ama kutumia fedha hizo kununua dawa...
Tunaweza kiadhimisha hata kwa Rais kuhutubia kupitia TV na Radio
nashangaa sana Rais Magufuli kufuta siku ya Ukimwi inayo adhimishwa duniani kote kila tarehe moja December.
hakuna mantiki yoyote Ukimwi bado ni janga la Dunia naomba Rais wetu punguza ubabe hausaidii sana na una madhara mengi sana hapo baadaye
mngeruhusu siku iadhimishswe bila kuwepo gharama zozote kama sherehe
naomba tutupia macho mambo haya kwa makini
Acha uongo wako hapa! leo nilikuwa singida,maadhimisho hayo yamefanyika viwanja vya peoples.Labda ungesema Magufuli ameshindwa kuhudhuria.Ila chakushangaza walijaza tu wanafunzi wa sekondari.
Siku ya ukimwi ni kwa ajili ya kutoa ushauri kuhusu ukimwi, haihusiani na sherehe,,kuifuta ni uzuzu wa hali ya juu
Sawa.. ila ni kwamba uwingi wa dawa ni dawa.. ukisema madawa siyo sahihi.
Mkweree inamuuma sanaa hii!!!!!!