MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,976
Hiki ni Kikao cha kwanza na wajumbe wa Sekretarieti ya CCM kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa tokea alipochaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCM.
Rais pia ameongea na wafanyakazi wote wa ofisi ya Makao Makuu ya CCM, Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula alipowasili Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha Zakia Hamdan Meghji.
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu Mkuu wa Jumuia ya Wazazi, Seif Shaban Nasoro.
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCMTaifa , Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu Mkuu wa UWT, Amina Makilagi.
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu UVCCM, Shaka Hamdu Shaka.
Rais wa Jamhuri ya miingano na Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu wa Sekretarieti, Anamringi Macha.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt. John Pombe Magufuli baada ya Mwenyekiti kuwasili Makao Makuu ya CCM, leo. Kushoto ni Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa na Wapili kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula.
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa , Dkt. John Magufuli akiwasili ukumbini, kuzungumza na Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma, Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula na Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, Waziri Mkuu Majaliwa KassimMajaliwa, Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rajab Luhwavi na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (aliyesimama) akitoa maneno ya utangulizi kumkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Pombe Magufuli kuzungumza na Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM, Makamo Makuu ya CCM mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Sekretarieti ya CCM Taifa.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Magufuli na sekretarieti ya CCM wakiwa katika picha ya pomoja na wafanyakazi wote wa ofisi ya Makao Makuu ya CCM, Dodoma.
Rais pia ameongea na wafanyakazi wote wa ofisi ya Makao Makuu ya CCM, Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula alipowasili Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha Zakia Hamdan Meghji.
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu Mkuu wa Jumuia ya Wazazi, Seif Shaban Nasoro.
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCMTaifa , Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu Mkuu wa UWT, Amina Makilagi.
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu UVCCM, Shaka Hamdu Shaka.
Rais wa Jamhuri ya miingano na Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu wa Sekretarieti, Anamringi Macha.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt. John Pombe Magufuli baada ya Mwenyekiti kuwasili Makao Makuu ya CCM, leo. Kushoto ni Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa na Wapili kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula.
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa , Dkt. John Magufuli akiwasili ukumbini, kuzungumza na Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma, Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula na Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, Waziri Mkuu Majaliwa KassimMajaliwa, Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rajab Luhwavi na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (aliyesimama) akitoa maneno ya utangulizi kumkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Pombe Magufuli kuzungumza na Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM, Makamo Makuu ya CCM mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Magufuli na sekretarieti ya CCM wakiwa katika picha ya pomoja na wafanyakazi wote wa ofisi ya Makao Makuu ya CCM, Dodoma.