njia mbadala ni ipi hiyo kama watu wanadaiwa yapata miaka 3 mpaka 4 hawajalipa hakika kwenye miti hakuna wajenzi,ila matumaini yapo tutapata kiongozi wa juu ambae yeye safu yake ya utendaji ni watu aina ya nehemia mchechu na wakina john pombe magufuri ambao wapo tayari kusimamia utawala wa sheria na sio kufundisha jamii kukwepa sheria.tunako kwenda watendaji wengi wa serikali na hatimae umma utaanza kupuuza sheria halali na hatimae tumeanza kuona jinsi raia wanavyojichukulia sheria mikononi na mwisho wake viongozi na familia zao ndio watakao pima ubaya wa kulea matumizi mabaya ya kupuuza utawala wa sheria kwa kuwa umma umetunga sheria lakini aliyepaswa kusimia sheria na kuona haki inapatikana kesha amua kukaa pembeni na kuacha kanuni ya mbugani au msituni [jungle's law] kuendelea kutumika na sio utawala wa haki na sheria kwa faida ya walio wengi.
rais kikwete mmemkaa kooni, kila atachosema, atachofanya, atachofanya hata kama ni chema kwenu ni kibaya. Sababu zinajulikana wala msidhani hatuzijui, yanajirudia yaliyomkuta mwinyi.
yes nyoshi el sadaat rais wa fm academia..Hivi kumbe tuna Rais?
Nimesoma habari katika Tanzania Daima yenye kichwa cha habari" NHC yarudisha funguo za wazazi ccm" NHC yarejesha funguo za wazazi CCM katika habari hiyo inaelezwa kuwa Rais ameliambia shiraka hilo kutafuta njia mbadala ya kudai madeni badala ya sasa ambayo inaathiri sana wizara. Mi naona hii si safi hata kidogo. Ndio yale ya Magufuli alipoambiwa aangalie utu/uungwana badala ya sheria katika bomoa bomoa, kwa hali hii tutafika kweli?
Rais Kikwete mmemkaa kooni, kila atachosema, atachofanya, atachofanya hata kama ni chema kwenu ni kibaya. Sababu zinajulikana wala msidhani hatuzijui, yanajirudia yaliyomkuta Mwinyi.
Nimesoma habari katika Tanzania Daima yenye kichwa cha habari" NHC yarudisha funguo za wazazi ccm" NHC yarejesha funguo za wazazi CCM katika habari hiyo inaelezwa kuwa Rais ameliambia shiraka hilo kutafuta njia mbadala ya kudai madeni badala ya sasa ambayo inaathiri sana wizara. Mi naona hii si safi hata kidogo. Ndio yale ya Magufuli alipoambiwa aangalie utu/uungwana badala ya sheria katika bomoa bomoa, kwa hali hii tutafika kweli?
Nimesoma habari katika Tanzania Daima yenye kichwa cha habari" NHC yarudisha funguo za wazazi ccm" NHC yarejesha funguo za wazazi CCM katika habari hiyo inaelezwa kuwa Rais ameliambia shiraka hilo kutafuta njia mbadala ya kudai madeni badala ya sasa ambayo inaathiri sana wizara. Mi naona hii si safi hata kidogo. Ndio yale ya Magufuli alipoambiwa aangalie utu/uungwana badala ya sheria katika bomoa bomoa, kwa hali hii tutafika kweli?
Rais Kikwete mmemkaa kooni, kila atachosema, atachofanya, atachofanya hata kama ni chema kwenu ni kibaya. Sababu zinajulikana wala msidhani hatuzijui, yanajirudia yaliyomkuta Mwinyi.
Katika hili la NHC ni kwa nini Serikali ya Ccm iwe bado inazing'ang'ania nyumba ambazo zinahitajika hata kwa sasa hivi zirudishwe
kwa wenyewe waliotaifishwa wakati wa sera mbovu za ujamaa na kujitegemea. Na nyumba ambazo wahusika hawapo ziuzwe
Serikali ikumbuke kwamba nyumba hizo hazikujengwa na Serikali ya Tanu wala ya ccm, Bali zilitaifishwa kwa mpango maalum
wa kuwadhoofisha Raia kwa madhumuni ya kuwatawala kimabavu, kwa siasa ambayo ilishindwa kuwaongoza watanzanzia.
Na huu ni wakati mbadala wa kuzirudisha nyumba zote kwa wenyewe, Ikiwa Serikali waliuza nyumba zao kwa nini wazing'ang'-
anie hizo, Kwa hatua hiyo ya Serikali ya Ccm inatufanya Watanzania tuwe na maswali mengi ya kujiuliza ambayo bado yako
wazi.
Nimesoma habari katika Tanzania Daima yenye kichwa cha habari" NHC yarudisha funguo za wazazi ccm" NHC yarejesha funguo za wazazi CCM katika habari hiyo inaelezwa kuwa Rais ameliambia shiraka hilo kutafuta njia mbadala ya kudai madeni badala ya sasa ambayo inaathiri sana wizara. Mi naona hii si safi hata kidogo. Ndio yale ya Magufuli alipoambiwa aangalie utu/uungwana badala ya sheria katika bomoa bomoa, kwa hali hii tutafika kweli?