SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
- Thread starter
- #101
Ndugu SMU Heshima mbele
Kutunukiwa Degree ya heshima sio garantee ya kufanya mema kwa Kikwete ndani ya nchi yake. Martin Luther Kinng aliwahi kusema nanukuu
"The ultimate measure of a man is not where he stands in moments of comfort and convenience, but where he stands at times of challenge and controversy."
Msimamo wa Mheshimiwa JK kwenye ufisadi ni upi hasa? Nchi imeyumba utafikiri hatuna Rais. Ni yapi mazuri aliyoyafanya zaidi ya uchumi wa nchi kuporomoka, mfumuko wa bei kuwa juu na madeni kuongezeka?
Obi,
Hizo degree nilitolea kama mfano tu wa jinsi watu wa nje ya Tz wanavyomtizama JK.
Kuna wakati anasifiwa na watu wa nje (mf Bush, Obama) mpaka unajiuliza kama kweli wanamaanisha au ni sisi ndo hatuoni mazuri yake.
Lakini kama watu mbalimbali walivyochangia mada, ni wazi kuna mazuri amefanya hata kama hayawezi ku outweigh mabaya yake.