Rais Kikwete linda wananchi, mnyarwanda anadhalilisha wananchi wako kiasi hiki

Nafikiri baada ya kuona thread hii jana amejitokeza ITV na kusema eti wkt polisi wanavunja yeye hakuwepo eneo la tukio hivyo atawasaidia waliovunjiwa, eti lengo lake ni kuwaendeleza wenyeji kwa kuwapa ngombe wa maziwa km kuwakopesha. Pia amesema kw eneo alinunua kwenye chama cha ushirika MORO na anadai baadhi ya wananchi zaidi ya 100 aliwalipa fidia, swali km eneo alilinua ktk chama cha ushirika kwa nini aliwalipa fidia wananchi wa kawaida? Me ninavyojua eneo analomiliki ni tofauti na hili lenye mgogoro na kesi ya msingi iko mahakamani.


Lengo lake limeshaonekana kwa vitendo, huwezi ukawa na nia ya kuwaendeleza watu wakati huohuo unabomoa nyumba zao.
 
Ni kweli kabisa mkuu, lakini mwananchi mnyonge anapodhulumiwa haki zake tena kwa kushirikiana na mamlaka za juu ambazo zinapaswa kulinda mwananchi hata kama mwananchi huyo akipiga kelele ataishia kupelekwa Mabwepande tu.

Ndiyo maana nikasema angalau aje kupigia kelele hapa JF, labda UN itasikia kilio chake vinginevyo lazima wataku-Absalom Kibanda tu.

all in all ukishamiliki ardhi nchini tanzania tayari umejiingiza kwenye matatizo. uwe mzungu ama mnyamwezi... haijalishi, hata mzindakaya na mwingira wameonja joto ya jiwe kwa ardhi yao wanayomiliki kiharali
 
shenzy kabisa, namie niliboreka sana na vyombo vya habari kwani uyo mtu ninani na mbona hatajwi,haonyeshwi wala nini?hii nchi imefikia pabaya sana waandishi wa habari butu,watawala wa ccm majambazi,cdm wanagombana tu,cuf marehem...kimebaki ss ni filimbi pyeee tuingie uwanjani/wanainchi wajilinde basi.

tunashukuru sana mleta hii mada na picha sasa tumemjua uyo kenge
 
ndo mana nawapenda saana kanda ya ziwa hakuna kulemba...yani kule ndo kuna wanaume na wanawake wasiotaka masihala na dharau za kihuni
 
Mkuu haya yameanza baada ya watu zaidi ya 300 kukosa makazi kutokana na ukatiri wa huyo bwana, akina bashe wakifanya ukatili kama huu nao watasemwa hivyo hivyo.

Sisi maskini mara nyingi ni wabishi na tunapenda kujilizaliza ili tuonewe huruma, wale watu wanatakiwa waondoke kwenye lile eneo kwani si lao tena! Mwenye eneo lake alichofanya ni kulalamika kwenye mamlaka kwa nini hapishwi kwenye eneo la mradi ili afanye kazi zake, ILALAMIKIE SERIKALI YAKO NA SERA ZAKE!
 
all in all ukishamiliki ardhi nchini tanzania tayari umejiingiza kwenye matatizo. uwe mzungu ama mnyamwezi... haijalishi, hata mzindakaya na mwingira wameonja joto ya jiwe kwa ardhi yao wanayomiliki kiharali


Umeona ee?
 
Lengo lake limeshaonekana kwa vitendo, huwezi ukawa na nia ya kuwaendeleza watu wakati huohuo unabomoa nyumba zao.

ukifuatilia operation kimbugha utaona ilitokana na malalamiko ya wanainchi wa mikoa ya kagera,kgm na geita kwa mheshimiwa jk kwa kunyanyaswa na wageni kwa kushirikiana na viongozi wa vijiji,mitaa, wilayani etc this is a typical case utavunjaje nyumba za watu 300 eti kujenga majosho,jk atumie mamlaka yake ku revoke hii hati ya ardhi!!!!!
 
Kutokuwa na elimu nalo ni tatizo la muwekezaji? Yeye kaomba ardhi kapewa na serikali, wakati serikali inampa ilijua kabisa kwamba kuna watu pale, na kwa sababu sera ya ardhi inairuhusu serikali kubadili matumizi ya ardhi muda wowote hilo si kosa la muwekezaji, hata wewe hapo ulipojenga kibanda chako unaweza kuambiwa bomoa mwekezaji anataka kujenga kiwanda!

Weee!! nitake radhi na utengue kauli yako, mimi kidudume nina nyumba siyo kibanda.
 
ukifuatilia operation kimbugha utaona ilitokana na malalamiko ya wanainchi wa mikoa ya kagera,kgm na geita kwa mheshimiwa jk kwa kunyanyaswa na wageni kwa kushirikiana na viongozi wa vijiji,mitaa, wilayani etc this is a typical case utavunjaje nyumba za watu 300 eti kujenga majosho,jk atumie mamlaka yake ku revoke hii hati ya ardhi!!!!!

Kwani hiyo ardhi aliiomba ya nini kama wana kijiji hawhamishwi? Mkifuta hiyo hati mnayo pesa ya kumlipa? ANAMILIKI KIHALALI HIYO ARDHI, SERIKALI YENYEWE NDIYO ILIYOMPA!
 
ukifuatilia operation kimbugha utaona ilitokana na malalamiko ya wanainchi wa mikoa ya kagera,kgm na geita kwa mheshimiwa jk kwa kunyanyaswa na wageni kwa kushirikiana na viongozi wa vijiji,mitaa, wilayani etc this is a typical case utavunjaje nyumba za watu 300 eti kujenga majosho,jk atumie mamlaka yake ku revoke hii hati ya ardhi!!!!!

You are very right Mkuu. And this will be done. Serikali yetu ni makini.
 
Sisi maskini mara nyingi ni wabishi na tunapenda kujilizaliza ili tuonewe huruma, wale watu wanatakiwa waondoke kwenye lile eneo kwani si lao tena! Mwenye eneo lake alichofanya ni kulalamika kwenye mamlaka kwa nini hapishwi kwenye eneo la mradi ili afanye kazi zake, ILALAMIKIE SERIKALI YAKO NA SERA ZAKE!


Yapo maeneo mengi ambayo hayana migogoro, kwa nini iwe kwenye makazi ya watu? kwake majosho ya ng'ombe ni bora kuliko makazi ya watu, lakini kwetu makazi ya watu ni bora zaidi.
 
proof of ownership
Ardhi isiyopiumwa ina proof of ownership too! (customary ownership can proven in court, and legally accepted).

Can even be sold. The only difference is, when it comes to buying a customary owned land you are not sure if that land was planned for roads, military or any other kind of development by the government which will make compensation complcated.

Thats all....

Kunha hati kibao zenye mgogoro kwa sababu customary ownership is very legal na watu wengi hAWAJUI HILI.
 
Yapo maeneo mengi ambayo hayana migogoro, kwa nini iwe kwenye makazi ya watu? kwake majosho ya ng'ombe ni bora kuliko makazi ya watu, lakini kwetu makazi ya watu ni bora zaidi.

You are missing the whole point! SERIKALI imempatia muwekezaji hilo eneo, you should be asking those questions to your government, SIYO MWEKEZAJI!
 
You are missing the whole point! SERIKALI imempatia muwekezaji hilo eneo, you should be asking those questions to your government, SIYO MWEKEZAJI!


Kama ni la kwake kihalali aende kipindi kama hiki uone kama atarudi akiwa hai, hata kama umepewa na serikali ule ubinadamu umepotelea wapi au kwa kua waliopoteza nyumba ni watanzania na yeye siyo mtanzania.
 
Kama ni la kwake kihalali aende kipindi kama hiki uone kama atarudi akiwa hai, hata kama umepewa na serikali ule ubinadamu umepotelea wapi au kwa kua waliopoteza nyumba ni watanzania na yeye siyo mtanzania.

Tuishie hapo Mkuu, nimeshaelewa mtazamo wako.
 
mwekezaji ni mwekezaji awe mchina, mzungu, mnyarwanda... mawazo mafinyo ya mleta mada... au hii ni decoy, anatumia jina la prof. mnyarwanda kuamsha hisia na kumbe mali ni ya mtu mwingine, hovyoooooooooo
 
mwekezaji ni mwekezaji awe mchina, mzungu, mnyarwanda... mawazo mafinyo ya mleta mada... au hii ni decoy, anatumia jina la prof. mnyarwanda kuamsha hisia na kumbe mali ni ya mtu mwingine, hovyoooooooooo

Lakini pia as a nation we have the rigtht to choose the right investor....nyie mshaanza kuonyesha dalili mbaya kwa kumtukana Rais wetu. We CANNOT TRUST a tutsi anymore, else what you are doing in DRC and what you did n still doing in rwanda you'll also do it here. Kwann msijiulize why this resistance is shown to tutsis? It is bcoz you lost trust, tuliwapokea kama ndugu wakati mnauana huko rwanda leo mnataka mtukalie kichwani!?
 
Back
Top Bottom