Rais Kikwete kwenye ziara ya kiserikali nchini Ufaransa

Hiyo ziara ya fifa amembatana na Tenga? hahahahah kazi kweli kweli...hii miaka 10 tutaijutia kweli!
 
asante kwa kujitolea rais wetu ubarikiwe sana maana unachoka sana na hizo safari lakini kwa kuwa uliahidi kututumikia watanzania kwa moyo mmoja unafanya hayo maana mwingine angejifungia ikulu na kula bata hongera mkuu kikwetw ubarikiwe tena

Kweli atakukanyaga pole we
 
kimpango wakee,na hizo safari za ajabu ajabu zisizo na tija wala maana yoyote kwetu sisi lazima zije zimtokee puani,waziri wa mambo ya nje anafanya nini??na sikun hizi anakuja na janja kwamba kaalikwa nani amwalike yeye??aliikwe ana nini??

Na huko uswisw anakokwenda haendi kutembelea shirikisho la soka wala nini??anaenda kuzidi kuweka 10 percent za gsei yetu tuu,tulaani dhulma kama hizi
Tena anakutana na boss wa TOTAL hapo lazima waongelee gas ya MTWARA
 
atapokelewa rasmi katika Ufaransa kwa gwaride nakupokelewa na Waziri wa Misaada ya Maendeleo wa Ufaransa,Mheshimiwa Paschal Canfin.Hapa ndo nimepata picha halisi ya safari yake
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Pro-Chadema JF vipi vikwazo vya UN vimeisha.

RITZ Vipi hujafuatana na baba? Nilitamani asome makala ya jumatano sasa kasafiri ila sio shida atasoma hukohuko,Nashukuru anajua nimeahidi sinto mwacha nitakuwa mtu wa mwisho ili ni mkumbushe andiko baada ya andiko.WEWE JE NDG YANGU? UTMKIMBIA BABA?
 
Sioni ni kwa vipi hiyo safari ina kitu cha maana kwa Tanzania? France wanaonekana wanataka nini toka kwetu - mafuta (Total), lakini sisi tunataka nini hadi tuende Ufaransa? FIFA, mabalozi wanaotoka Afrika, Radio France International, wa nini hawa watu?
 
Kwa wale wadau ni Safari ya mia sita na ngapi hiyo tangu aingie madarakani? Au imeshafika safari ya Buku maana yake Vasco Da Gama Kiboko!!!
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
RAIS wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa JakayaMrisho Kikwete anaanza ziara rasmi ya Kiserikali nchini Ufaransa leo, Jumamosi, Januari 19, 2013, kwa mwaliko wa Rais wa Ufaransa,Mheshimiwa Francois Hollande.Rais Kikwete na ujumbe wake aliondoka nchini usiku wa kuamkia leo, Jumamosi, kwa ndege ya Shirika la Ndege la Uswisi kuelekea Ulaya kwa ajili ya ziara hiyo.Mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Charles DeGaul mjini Paris leo jioni, Rais Kikwete ambaye anafuatana na Mama Salma Kikwete atapokelewa rasmi katika Ufaransa kwa gwaride nakupokelewa na Waziri wa Misaada ya Maendeleo wa Ufaransa,Mheshimiwa Paschal Canfin.

Kwa mujibu wa ratiba, kesho, Rais Kikwete atakutana na kufanyamazungumzo na Mama Frannie Leautiera mbaye ni Mtendaji Mkuu waMfuko Private Fund na baadaye atakutana na Mama Marie Christine Saragosse, Mtendaji Mkuu wa Redio France International (RFI).

Mkutano huo utafuatiwa na kikao kati ya Rais Kikwete na Jumuiya ya Watanzania wanaoishi nchini Ufaransa.

Kesho kutwa, Jumatatu, Rais Kikwete atakutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Francois Hollande, Rais wa Ufaransa kwenye Kasri ya nchi hiyo ya Elysee Palace.Mazungumzo kati ya Rais Kikwete na Rais Hollande yatafuatiwana chakula cha mchana ambako Rais Kikwete atakaribishwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Mheshimiwa Laurent Fabius.

Baada yachakula hicho cha mchana, Rais Kikwete atakutana na kuzungumza na Bwana Yves Louis Darricarere, Rais wa Kampuni ya Mafuta yaKimataifa ya Total.

Mazungumzo hayo yatafuatiwa na mazungumzo mengine kati ya Rais Kikwete na Kiongozi wa Madhehebu ya Ismailia Duniani H.H The Aga Khan na baada ya hapo, Rais Kikwete atakwenda Kasri la Luxemburg kukutana na kuzungumza na Rais wa Bunge la Seneti laUfaransa, Mheshimiwa Jean Pierre Bel.Usiku wa Jumatatu, RaisKikwete atakula chakula cha usiku naRais wa zamani wa Ufaransa, Mheshimiwa Valery Giscard d'Estaingambaye ni Mwenyekiti wa Tanzania Wildlife Conservation Foundation.

Jumanne, Rais Kikwete atakuwa na siku nyingine yenye shughulinyingi ambako miongoni mwa mambo mengine atakutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wa Afrika wanaowakilisha nchi zao katika Ufaransa, na atakutana na Mheshimiwa Abdou Diouf, Katibu Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Nchi Zinazongumza Lugha ya Kifaransa na Rais wa zamani wa Senegal.

Rais Kikwete pia atashiriki majadiliano kuhusu masuala yakimataifa yaliyoandaliwa na Taasisi ya Mahusiano ya Kimataifa yaUfaransa – Institute Francais Des Relations International (IFRI) naatakutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Ufaransa (AFD).

Rais Kikwete ataondoka nchini Ufaransa Jumatano, Januari 23,2013, kwenda Uswisi ambako atatembelea Makao Makuu ya Shirikishola Soka Duniani (FIFA) mjini Zurich na baadaye kwenda Davos kuhudhuria mkutano wa mwaka huu wa Shirika la Uchumi Duniani –World Economic Forum (WEF).
 
Itatusaidia nini watanzania hiyo ziara au ndo ameenda kuongeza deni la taifa,nakutafta mahala pa kuishi 2016,nimekumbuka kitu kaenda kuamisha yale mabilion! Nahici atayaamishia visiwa vya new jeezy!iliko benki ya CHENGE
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
RAIS wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa JakayaMrisho Kikwete anaanza ziara rasmi ya Kiserikali nchini Ufaransa leo, Jumamosi, Januari 19, 2013, kwa mwaliko wa Rais wa Ufaransa,Mheshimiwa Francois Hollande.Rais Kikwete na ujumbe wake aliondoka nchini usiku wa kuamkia leo, Jumamosi, kwa ndege ya Shirika la Ndege la Uswisi kuelekea Ulaya kwa ajili ya ziara hiyo.Mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Charles DeGaul mjini Paris leo jioni, Rais Kikwete ambaye anafuatana na Mama Salma Kikwete atapokelewa rasmi katika Ufaransa kwa gwaride nakupokelewa na Waziri wa Misaada ya Maendeleo wa Ufaransa,Mheshimiwa Paschal Canfin.

Kwa mujibu wa ratiba, kesho, Rais Kikwete atakutana na kufanyamazungumzo na Mama Frannie Leautiera mbaye ni Mtendaji Mkuu waMfuko Private Fund na baadaye atakutana na Mama Marie Christine Saragosse, Mtendaji Mkuu wa Redio France International (RFI).

Mkutano huo utafuatiwa na kikao kati ya Rais Kikwete na Jumuiya ya Watanzania wanaoishi nchini Ufaransa.

Kesho kutwa, Jumatatu, Rais Kikwete atakutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Francois Hollande, Rais wa Ufaransa kwenye Kasri ya nchi hiyo ya Elysee Palace.Mazungumzo kati ya Rais Kikwete na Rais Hollande yatafuatiwana chakula cha mchana ambako Rais Kikwete atakaribishwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Mheshimiwa Laurent Fabius.

Baada yachakula hicho cha mchana, Rais Kikwete atakutana na kuzungumza na Bwana Yves Louis Darricarere, Rais wa Kampuni ya Mafuta yaKimataifa ya Total.

Mazungumzo hayo yatafuatiwa na mazungumzo mengine kati ya Rais Kikwete na Kiongozi wa Madhehebu ya Ismailia Duniani H.H The Aga Khan na baada ya hapo, Rais Kikwete atakwenda Kasri la Luxemburg kukutana na kuzungumza na Rais wa Bunge la Seneti laUfaransa, Mheshimiwa Jean Pierre Bel.Usiku wa Jumatatu, RaisKikwete atakula chakula cha usiku naRais wa zamani wa Ufaransa, Mheshimiwa Valery Giscard d'Estaingambaye ni Mwenyekiti wa Tanzania Wildlife Conservation Foundation.

Jumanne, Rais Kikwete atakuwa na siku nyingine yenye shughulinyingi ambako miongoni mwa mambo mengine atakutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wa Afrika wanaowakilisha nchi zao katika Ufaransa, na atakutana na Mheshimiwa Abdou Diouf, Katibu Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Nchi Zinazongumza Lugha ya Kifaransa na Rais wa zamani wa Senegal.

Rais Kikwete pia atashiriki majadiliano kuhusu masuala yakimataifa yaliyoandaliwa na Taasisi ya Mahusiano ya Kimataifa yaUfaransa – Institute Francais Des Relations International (IFRI) naatakutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Ufaransa (AFD).

Rais Kikwete ataondoka nchini Ufaransa Jumatano, Januari 23,2013, kwenda Uswisi ambako atatembelea Makao Makuu ya Shirikishola Soka Duniani (FIFA) mjini Zurich na baadaye kwenda Davos kuhudhuria mkutano wa mwaka huu wa Shirika la Uchumi Duniani –World Economic Forum (WEF).

Na haya kwenye red highlight ni maneno gani??....hizi statements zinazoandaliwa na hawa watu wa press ya president mi huwa zinanitia mashaka makubwa juu ya umakini wa hawa majamaa.....Maana inaonyesha wazi wanaandika statements hizi wakiwa kwenye haraka kubwa...kama vile wanawahi mahali....ndio wanaita kuwahi trip za rais.....kwa vile hizi safari ni deal kubwa kwao tayari. Alafu statements zenyewe haziko detailed......wanaandika kijinga kuonyesha mahali rais atakapokuwa.....kwa maana fupi na ya kijinga ya kumfagilia......lakini hawaonyeshi in detail rais atafanya/kuzungumzia mambo gani na hao watu/mahali atakapokuwa anaenda.....Huu ni uandishi wa kijinga sana....haswa kwa watu wanaojiita waandishi wa rais(ikulu).....Mi naona wanafanya hivi najua kwa shinikizo la wanaowaajiri(rais)......inasikitisha......Shame on them....
 
Safari moja huanzisha nyingine, nyie vipi? Kigeni ni kipi hapa? mambo ya watu binafsi wakuu wa makampuni si anatuombea deal watanzania ambao kazi hatuwezi, kufikiri tumegoma sasa afanyeje zaidi ya kutuombea misaada?
 
attachment.php


Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Ikulu, kesho Rais Jakaya Kikwete atakutana na kufanya mazungumzo na MAMA FRANNIE LEAUTIERA,anayetajwa kuwa ni Mtendaji Mkuu wa MFUKO PRIVATE FUND.

Nimejaribu kufanya utafiti mtandaoni lakini jina la karibu linaloshabihiana na la mwanamama huyo ni FRANNIE LEAUTIER (pichani juu)

Lakini jitihada zangu za kutafuta MFUKO PRIVATE FUND (taasisi ambayo taarifa hiyo ya Ikulu inaeleza kuwa Mama Leautiera ni Mtendaji Mkuu) hazijazaa matunda.

Je, Ikulu walimaanisha Frannie Leautier lakini wakaongeza herufi 'A' kimakosa, hivyo kusomeka LEAUTIERA badala ya LEAUTIER?

Tukiamini hilo ni kosa dogo tu la kiuandishi, je MFUKO PRIVATE FUND ni taasisi gani? Na kwanini Rais akutane na Mtendaji Mkuu wake?

Unaweza kudhani maswali haya hayana umuhimu lakini kwa vile taarifa zimeshasambaa duniani kuwa tuna utajiri 'mpya' wa gesi, basi ni vema kufahamu viongozi wetu wanakutana na watu wa aina gani wanapokuwa ziarani huko nje.

Kama mnavyojua, kabla na wakati wa ukoloni akina Karl Peters walipita huko na kule kusaini mikataba ya kilaghai ya kuchukua ardhi na raslimali zetu. Siku hizi, baadhi ya viongozi wa Afrika ndio wamegeuka akina Karl Peters kwa aidha kukaribisha 'wakoloni wapya' au kuwafuata huko makwao kusaini mikataba ya kuuza nchi yetu.

Ni matarajio yangu kuwa Ikulu itajitahidi kutoa ufafanuzi kuhusu suala hili.

Mama Frannie Leautiera Atakayekutana na Kikwete Ufaransa ni Nani? Na MFUKO PRIVATE FUND ni nini? ~ Kulikoni Ughaibuni
 

Attachments

  • Frannie.jpg
    Frannie.jpg
    13.6 KB · Views: 1,752
"Mwache rais aende kutuletea fedha tujenge barabara", alisema Magufuli.This nonsense was spoken by the named minister emphasizing that the president is doing the right thing.
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS


Telephone: 255-22-2114512,2116898
E-mail:
ikulumawasiliano@yahoo.com / press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,DAR ES SALAAM
Tanzania


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

RAIS wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete anaanza ziara rasmi ya Kiserikali nchini Ufaransa leo, Jumamosi, Januari 19, 2013, kwa mwaliko wa Rais wa Ufaransa, Mheshimiwa Francois Hollande.

Rais Kikwete na ujumbe wake aliondoka nchini usiku wa kuamkia leo, Jumamosi, kwa ndege ya Shirika la Ndege la Uswisi kuelekea Ulayakwa ajili ya ziara hiyo.

Mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Charles DeGaul mjini Paris leo jioni, Rais Kikwete ambaye anafuatana na Mama Salma Kikwete atapokelewa rasmi katika Ufaransa kwa gwaride nakupokelewa na Waziri wa Misaada ya Maendeleo wa Ufaransa, Mheshimiwa Paschal Canfin.

Kwa mujibu wa ratiba, kesho, Rais Kikwete atakutana na kufanya mazungumzo na Mama Frannie Leautiera mbaye ni Mtendaji Mkuu wa Mfuko Private Fund na baadaye atakutana na Mama Marie Christine Saragosse, Mtendaji Mkuu wa Redio France International (RFI).

Mkutano huo utafuatiwa na kikao kati ya Rais Kikwete na Jumuiya yaWatanzania wanaoishi nchini Ufaransa.

Keshokutwa, Jumatatu, Rais Kikwete atakutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Francois Hollande, Rais wa Ufaransa kwenye Kasri ya nchi hiyo ya Elysee Palace.

Mazungumzo kati ya Rais Kikwete na Rais Hollande yatafuatiwana chakula cha mchana ambako Rais Kikwete atakaribishwa na Waziriwa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Mheshimiwa Laurent Fabius. Baada ya chakula hicho cha mchana, Rais Kikwete atakutana na kuzungumza na Bwana Yves Louis Darricarere, Rais wa Kampuni ya Mafuta yaKimataifa ya Total.

Mazungumzo hayo yatafuatiwa na mazungumzo mengine kati yaRais Kikwete na Kiongozi wa Madhehebu ya Ismailia Duniani H.H TheAga Khan na baada ya hapo, Rais Kikwete atakwenda Kasri la Luxemburg kukutana na kuzungumza na Rais wa Bunge la Seneti la Ufaransa, Mheshimiwa Jean Pierre Bel.

Usiku wa Jumatatu, RaisKikwete atakula chakula cha usiku naRais wa zamani wa Ufaransa, Mheshimiwa Valery Giscard d’Estaingambaye ni Mwenyekiti waTanzania Wildlife Conservation Foundation. Jumanne, Rais Kikwete atakuwa na siku nyingine yenye shughuli nyingi ambako miongoni mwa mambo mengine atakutana nakufanya mazungumzo na mabalozi wa Afrika wanaowakilisha nchi zaokatika Ufaransa, na atakutana na Mheshimiwa Abdou Diouf, KatibuMkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Nchi Zinazongumza Lugha yaKifaransa na Rais wa zamani wa Senegal.

Rais Kikwete pia atashiriki majadiliano kuhusu masuala yakimataifa yaliyoandaliwa na Taasisi ya Mahusiano ya Kimataifa yaUfaransa – Institute Francais Des Relations International (IFRI) naatakutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika laMaendeleo ya Kimataifa la Ufaransa (AFD).

Rais Kikwete ataondoka nchini Ufaransa Jumatano, Januari 23,2013, kwenda Uswisi ambako atatembelea Makao Makuu ya Shirikishola Soka Duniani (FIFA) mjini Zurich na baadaye kwenda Davoskuhudhuria mkutano wa mwaka huu wa Shirika la Uchumi Duniani – World Economic Forum (WEF).

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu
Dar es Salaam.
19 Januari, 2013
 
http://www.wise-qatar.org/content/dr-frannie-leautier

Frannie Léautier is the Executive Secretary of the African Capacity Building Foundation (ACBF). She served as Vice President of the World Bank and Head of the World Bank Institute from December 2001 to March 2007. She also served as Chief of Staff to the former President of the World Bank from 2000 to 2001. From 2007 to 2009, she took over as Managing Partner at The Fezembat Group. Dr. Léautier has published numerous articles and authored several books, including Cities in a Globalizing World and Leadership in a Globalized World.

She is Founding Editor for the Journal of Infrastructure Systems; Advisory Board Member for MIT OpenCourseWare and the MIT Corporation; and Founding Board Member for the Nelson Mandela Institute for Science and Technology in Africa. She is a Founding Board Member for the Africa Institute for Governing with Integrity and serves on the Board of UONGOZI, a leadership institute in Tanzania.

She is also a member of the WISE Haiti Task Force; Vice Chair for the World Economic Forum Global Agenda Council on Youth Development; and a member of the Knowledge Advisory Commission of the World Bank. This year she was named among the top 100 most influential people in Africa.

Dr. Léautier holds a B.Sc. in Civil Engineering from the University of Dar es Salaam; an M.Sc. in Transportation from MIT; and a Ph.D. in Infrastructure Systems from MIT. She is also a graduate of the Harvard University Executive Development Program. Since 2007 she has taught a course on Leadership at Sciences Po in Paris.


 
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS


Telephone: 255-22-2114512,2116898
E-mail:
ikulumawasiliano@yahoo.com / press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT'S OFFICE, THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,DAR ES SALAAM
Tanzania


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

RAIS wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete anaanza ziara rasmi ya Kiserikali nchini Ufaransa leo, Jumamosi, Januari 19, 2013, kwa mwaliko wa Rais wa Ufaransa, Mheshimiwa Francois Hollande.

Rais Kikwete na ujumbe wake aliondoka nchini usiku wa kuamkia leo, Jumamosi, kwa ndege ya Shirika la Ndege la Uswisi kuelekea
Ulayakwa ajili ya ziara hiyo.

Mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Charles
DeGaul mjini Paris leo jioni, Rais Kikwete ambaye anafuatana na Mama Salma Kikwete atapokelewa rasmi katika Ufaransa kwa gwaride nakupokelewa na Waziri wa Misaada ya Maendeleo wa Ufaransa, Mheshimiwa Paschal Canfin.

Kwa mujibu wa ratiba, kesho, Rais Kikwete atakutana na kufanya mazungumzo na Mama Frannie Leautiera mbaye ni Mtendaji Mkuu wa Mfuko Private Fund na baadaye atakutana na Mama Marie Christine Saragosse, Mtendaji Mkuu wa Redio France International (RFI).

Mkutano huo utafuatiwa na kikao kati ya Rais Kikwete na Jumuiya
yaWatanzania wanaoishi nchini Ufaransa.

Keshokutwa, Jumatatu, Rais Kikwete atakutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Francois Hollande, Rais wa Ufaransa kwenye Kasri ya nchi hiyo ya Elysee Palace.

Mazungumzo kati ya Rais Kikwete na Rais Hollande yatafuatiwana chakula cha mchana ambako Rais Kikwete atakaribishwa na
Waziriwa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Mheshimiwa Laurent Fabius. Baada ya chakula hicho cha mchana, Rais Kikwete atakutana na kuzungumza na Bwana Yves Louis Darricarere, Rais wa Kampuni ya Mafuta yaKimataifa ya Total.

Mazungumzo hayo yatafuatiwa na mazungumzo mengine kati
yaRais Kikwete na Kiongozi wa Madhehebu ya Ismailia Duniani H.H TheAga Khan na baada ya hapo, Rais Kikwete atakwenda Kasri la Luxemburg kukutana na kuzungumza na Rais wa Bunge la Seneti la Ufaransa, Mheshimiwa Jean Pierre Bel.

Usiku wa Jumatatu,
RaisKikwete atakula chakula cha usiku naRais wa zamani wa Ufaransa, Mheshimiwa Valery Giscard d'Estaingambaye ni Mwenyekiti waTanzania Wildlife Conservation Foundation. Jumanne, Rais Kikwete atakuwa na siku nyingine yenye shughuli nyingi ambako miongoni mwa mambo mengine atakutana nakufanya mazungumzo na mabalozi wa Afrika wanaowakilisha nchi zaokatika Ufaransa, na atakutana na Mheshimiwa Abdou Diouf, KatibuMkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Nchi Zinazongumza Lugha yaKifaransa na Rais wa zamani wa Senegal.

Rais Kikwete pia atashiriki majadiliano kuhusu masuala yakimataifa yaliyoandaliwa na Taasisi ya Mahusiano ya Kimataifa
yaUfaransa – Institute Francais Des Relations International (IFRI) naatakutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika laMaendeleo ya Kimataifa la Ufaransa (AFD).

Rais Kikwete ataondoka nchini Ufaransa Jumatano, Januari 23,2013, kwenda Uswisi ambako atatembelea MakaoMakuu ya Shirikishola Soka Duniani (FIFA) mjini Zurich na baadaye kwenda
Davoskuhudhuria mkutano wa mwaka huu wa Shirika la Uchumi Duniani – World Economic Forum (WEF).

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu
Dar es Salaam.
19 Januari, 2013

who wrote this statement from Ikulu? Salva or Premi???....ingekuwa vizuri wawe wanaandika majina yao tuwajue.....Wanaandika kumfagilia JK...lakini wanaonyesha ujuha wao pia...Hii statement haiko detailed hata kidogo...zaidi ya kuonyesha maeneo atakayokwenda JK....Atazungumzia nini....na kwa maslahi gani kwa taifa hawasemi.....what mediocres eh!!
 
Huyu jamaa MUUAJI, hata baada ya wanaharakati kupresent uuaji wake US bado hana aibu, naomba miaka iende huyu muuaji wa MWANGOSI, mtesa ULIMBOKA nk asitaafu
 
Back
Top Bottom