Na baada ya kafir kuona aibu kwa kugawa majengo ya NBC iringa akaona atoe aibu ikabidi balance.
Mazingira ya kazi huwezi mudu kama wewe si kama wao
Waambie pia waache kushabikia maandamano ya akina Ponda na badala yake wasome,maandamano yao ni ujinga wa milele
km kawa watazidi kujitenga mpaka bhaaaas,lakn hawataweza kufanikiwa kutawala nchi ye2 na kimataifa kiujumla b'se wanapenda kujitenga na kuchochea ghasia nchini af mwishowe wanashindwa,MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANIA
Wako walio kama wao toka SUA walioenda hapo kama part-time lecturers, hawakumudu! Chezea mimtu hiyo weweee?
Dhuruma ktk dawa zakulevya zimemtoa uhai zanzibar vp police mbona hamsemi mnaogopa kwa vle wakubwa watakasirika?
siyo MMU ni MUM; MMU= Mount Meru University-ARUSHA MUM=Muslim University of MorogoroAsanteni MMU ni hatua nzuri mungu awape nguvu.
Hivi KIKWETE ni dini gani vile?
Hivi kwenye hicho chuo kuna wahadhiri wakristo?
mkuu check pia profile ya st augustine uone kama kuna muislam hata mmoja wamejaa mapadri tu na mashemasi hapo ndo utapata jibuAisee. Pitia staff profile ya Muslim University kwenye website yao, wote waislam. Jamaa ni wadini ajabu. Wanataka kutwambia hakuna watu wa dini nyingine wanaoapply kazi kwenye chuo chao?
Waambie pia waache kushabikia maandamano ya akina Ponda na badala yake wasome,maandamano yao ni ujinga wa milele
weeeeeeehh! ukiombwa ushahidi utatoa?
Kwa wanaoifahamu MUM vizur tafadhali naombeni mnijulishe je wanaoffer masters in science? nimetamani kufanya masters yangu hapo, ili nijifunze mengi, kwanini watu wanakisema vibaya hicho chuo!
Kwa wanaoifahamu MUM vizur tafadhali naombeni mnijulishe je wanaoffer masters in science? nimetamani kufanya masters yangu hapo, ili nijifunze mengi, kwanini watu wanakisema vibaya hicho chuo!