Saa nyingine ukikosa la kusema ni busara kukaa kimya badala ya kutujazia bytes na upupu.Hujuwi kuwa matatizo ya madaktari uchwara yanashughulikiwa na kamati ya bunge? magwanda wakiwemo.
Kama ni kweli akimaliza kukutana na wabunge wa CCM basi atakutana na wa magwanda, hapo ndipo Kikwete anapojuwa kuwapatia, juisi na kashata kidogo, kusuta kote hakuna. Kama watoto wadogo vile.