Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Mkuu mbona ueleweki utaka kusema nini unachosema, mfano wako ni dhaifu sana.
Kuhusu Dk Slaa na mtazamo wako ni hadithi za Abunuasi na mke wake Elizabeti, eti angetangaza watu waingie barabarani saizi angekuwa Makamu wa Rais.
Mtazamo na muelekeo wako kisiasa na wasiwasi nao
Mkuu usichanganye ya Abunuwasi na Bulicheka.........:lol::lol::lol: