Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
- Thread starter
- #21
Mkuu mbona ueleweki utaka kusema nini unachosema, mfano wako ni dhaifu sana.
Kuhusu Dk Slaa na mtazamo wako ni hadithi za Abunuasi na mke wake Elizabeti, eti angetangaza watu waingie barabarani saizi angekuwa Makamu wa Rais.
Mtazamo na muelekeo wako kisiasa na wasiwasi nao
Umechukua sehemu ndogo story na kujenga hoja hasi. Kijumla nilimaanisha kwamba angekuwa na uroho wa madaraka angeleta machafuko kama kenya. Ingefuata mwafaka, halafu kama zilivyo nchi nyingi za afrika, angekuwa serikalini. Sasa hiyo ina uhusiano gani na mtazamo wangu kisiasa? Kwa ufupi mimi nilipenda jinsi alivyoweka taifa mbele bila kujali mimi ni Chadema au sina chama.