Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,535
- 8,620
Kenyatta alipata mtoto uzeeni! utafikiri mjukuu!
Mtoto wa Kwanza wa Kenyatta alizaliwa na mkewe Grace ..mwaka 1920 anaitwa PETER MUIGAI KENYATTA...na huyu alipata kumpatia uwaziri mdogo wa Nje...angalieni historia vema......huyu Uhuru alimpata baada ya kutoka kifungoni....mwaka 1963.
Mzee Kenyatta alikuwa akimuita Mwalimu Nyerere MWANAYE..Kwa sababu alikuwa na mtoto mkubwa kuliko yeye [mwalimu alizaliwa mwaka 1922]
Kenyatta alikuwa na ndoa za mitaala akiwemo mke Mzungu. Mama Ngina [mamaye uhuru] alikuwa mke rasmi kitaifa ..first lady